Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,059
Jibu lipo in bracket mkuu, kwamba wameshindwa kuishi na wake zao kwa akilikivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu lipo in bracket mkuu, kwamba wameshindwa kuishi na wake zao kwa akilikivipi?
Ni kweli mkuu na hiyo ni tangu kale hatuwezi badilishaUsaliti ni chanzo cha kifo
Umeongea kiutu uzima sana shemMimi niseme tu ni kweli usaliti wa mwanamke hauvumiliki ni tofaut na mwanaume hiyo iko hivyo tangu kuumbwa kwa ulimwengu na hatuwezi libadilisha hilo.
Ila kitu kimoja nanyi wanaume mnajisahau sana jaribuni kutuheshim wake zenu maana tunajua dhahiri kuwa mnachepuka lakini msituonyeshe tafadhali fanyeni kwa akili na heshima,usipigiwe simu usiku,usitumiwe msg usiku,ukitumiwa picha futa,,hiyo simu yako ni yangu pia vipi nikishika nikakuta picha za ajabu za wanawake wengine?it hurts more.
Tambueni kwamba hakuna mwanamke mwenye akili timamu atachepuka endapo anatimiziwa kila mahitaji muhimu toka kwa mumewe na heshima anaipata wakati mwingine wanaume mnasababisha usaliti na mnajijua hamuwezi vumilia usaliti.
Nasi wanawake tuombe Mungu atupe uvumilivu na hekima ya kuhandle shida na namna sahihi ya kuzitatua
Cdhani kama kuna mwanaume wa kukubali ujinga anapofanya kosa kama wapo hongera kwao hili huwa linawezekana kwa wanawake tuKukubali ujinga hiyo ndo dawa chungu sana kuinywa ila ukiimeza tu no stress.
Haahahaha uhwii itabidi uniagizie nishushie hapa maana haya maneno hadi koo limekauka koh kohUmeongea kiutu uzima sana shem
Balimi unatumia nikuagizie moja
Kama ilivyo kwa wanaume Mahondaw pia ni lazima mtambue saikolojia ya mwanaume. Sisi hatuendeshwi na "emotions " kama nyie sisi tunaendeshwa na "logic"
Nilikuwa nasoma mahali yule dada aliuwawa mkuranga juzi na mpenziwe maoni ya wanawake wengi wanasikitika sana na kuona ni kitendo cha kinyama Sana amefanyiwa wakati kosa lake ni dogo tu la kucheat. Lakini kama umefuatilia yule mwanaume alipoulizwa pale kwenye tukio alijibu bila wasiwasi kwamba na yeye ana moyo wa nyama. Najaribu kuwaeleza haya wanawake ili mtambue saikolojia ya mwanaume linapokuja suala la udanganyifu katika mapenzi.
Usaliti = kifo.Usaliti ni chanzo cha kifo
Sasa kama mwanaume anahudumiwa na huyo mwanamke unadhani atashindwa kuvumilia ?Cdhani kama kuna mwanaume wa kukubali ujinga anapofanya kosa kama wapo hongera kwao hili huwa linawezekana kwa wanawake tu
Bora umeujua ukweli na ndo maana hata vitabu vya dini vimetuasa wanaume tuishi na wake zetu kwa akiliMimi niseme tu ni kweli usaliti wa mwanamke hauvumiliki ni tofaut na mwanaume hiyo iko hivyo tangu kuumbwa kwa ulimwengu na hatuwezi libadilisha hilo.
Ila kitu kimoja nanyi wanaume mnajisahau sana jaribuni kutuheshim wake zenu maana tunajua dhahiri kuwa mnachepuka lakini msituonyeshe tafadhali fanyeni kwa akili na heshima,usipigiwe simu usiku,usitumiwe msg usiku,ukitumiwa picha futa,,hiyo simu yako ni yangu pia vipi nikishika nikakuta picha za ajabu za wanawake wengine?it hurts more.
Tambueni kwamba hakuna mwanamke mwenye akili timamu atachepuka endapo anatimiziwa kila mahitaji muhimu toka kwa mumewe na heshima anaipata wakati mwingine wanaume mnasababisha usaliti na mnajijua hamuwezi vumilia usaliti.
Nasi wanawake tuombe Mungu atupe uvumilivu na hekima ya kuhandle shida na namna sahihi ya kuzitatua
Kabisa inafika wakati unakuwa mpole tu basi mambo madogo madogo yanapita hiviBora umeujua ukweli na ndo maana hata vitabu vya dini vimetuasa wanaume tuishi na wake zetu kwa akili
Bora mwanamke anitapeli pesa nitamsamehe lakini sio kunisaliti.Hatuna moyo wa kusamehe hasa kwenye masuala ya mapenzi. Umeongea kweli kabisa
Hii inatawaliwa zaidi na nature, wanaume tupo tofauti sana na wanawake. Ninyi mara nyingi huwa mnasamehe tofauti na sisi kusamehe mke aliyeto.mbesha nje ya ndoa huwa tuko wagumu mno!kweli kabisa mkuu ila nilisemea kwenye mioyo ya uvumilivu na kusamehe.. wanawake mara nyingi tunasamehe na kusahau ila upande wenu majority katika kusamehe mhmh....
cc Smart911
Kujua mke anagongwa nje ni mtihani mkubwa sana ambao wanaume tulio wengi huwa kuufaulu ni Mungu tu aingilie kati vinginevyo mmmmh!Bora mwanamke anitapeli pesa nitamsamehe lakini sio kunisaliti.
Mhh ndo tumeshaumbwa wawili duniania hatunabudi kuwaelewa tuHii inatawaliwa zaidi na nature, wanaume tupo tofauti sana na wanawake. Ninyi mara nyingi huwa mnasamehe tofauti na sisi kusamehe mke aliyeto.mbesha nje ya ndoa huwa tuko wagumu mno!
Haahahaha nmecheka kifaalaBora mwanamke anitapeli pesa nitamsamehe lakini sio kunisaliti.
Nmeamka na upako leo siku ya BwanaNipo hapa nakuona unavomwaga busara zako maliyamtu
Biblia inaharalisha kuaachana pale mwanamke anapo cheat.Kujua mke anagongwa nje ni mtihani mkubwa sana ambao wanaume tulio wengi huwa kuufaulu ni Mungu tu aingilie kati vinginevyo mmmmh!