mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Mungu tu aingilie kati aseeeeMhh ndo tumeshaumbwa wawili duniania hatunabudi kuwaelewa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu tu aingilie kati aseeeeMhh ndo tumeshaumbwa wawili duniania hatunabudi kuwaelewa tu
HaswaaaMungu tu aingilie kati aseeee
Ni kweli kbs, shida inakuja kwa upande hasa wa wanaume huwa kusamehe na kuyasolve kidiplomasia tunakuwa wagumu sana wengi wetu. Na ukichunguza sana wengi wanatoa sababu kama vile unakuta mwanamke umeanza nae mbali kuja kumuachia aende zake mtu anaona hapana matokeo yake yanakuwa mabaya kbsBiblia inaharalisha kuaachana pale mwanamke anapo cheat.
Hii tabia ya kuwaza kwamba nyie ndo mnaumia sana mkisalitiwa alafu wanawake hawaumii sana ndo inatufanya tuwe tunawaomba sana hela.Haswaaa.. wanawake wanatakiwa wajue kuwa mwanaume anafikiri in logic na wao wanafikiri kwa kutumia hisia.
Kwa vyovyote vile hakuna mwanaume dunian ambaye atavumilia dharau kutoka kwa mwanamke wake, au kutoka kwa mke anae mwamini, huyo mwanaume hayuko.
So wanawake kama mna shida fulani semeni, unaona kuna tatizo kwa mwenzio sema, kuna jambo alikufurahishi sema. Huku kununa , kukaa kimya alaf ukachepuka, au ukamganyia mwanaume dharau.. matokeo yake ndio haya
Ulivyojibu, Kama Nakuona [emoji16]Nimeelewa
Kwa Staili Hii, Hasira Haziepukiki, Ima Utaua Au Utajiua, Ipo Siku Tu, Acha Kuwa na Mwanamke Mmoja.Mkuu napokua katika mahusiano thabiti huwa sitoki nje ya mwanamke wangu kwaiyo hii kitu inanipaga hali fulan ya hasira napoona usaliti unanukia. Sasa mimj hasira nisehem yangu mbaya ambayo kila siku najitahidi niiepuke.
Kwamantiki hiyo., for the betterment of my health and my life ..kuachana is the only way to go !!!.
Acha wehKwa Staili Hii, Hasira Haziepukiki, Ima Utaua Au Utajiua, Ipo Siku Tu, Acha Kuwa na Mwanamke Mmoja.
Naelewa saana unachokizungumzia. Tatizo moja kuuuubwa sana ni kwamba hii 50×50 itabaki kuwa nadharia tu ila kiuhalisia kbs ni suala ambalo haliwezekani. Na utenganisho huu ni wa ki-Mungu mwenyewe vinginevyo angeacha jinsi moja tu duniani. Hata kwenye mgawanyo wa majukumu hakuweka usawaHii tabia ya kuwaza kwamba nyie ndo mnaumia sana mkisalitiwa alafu wanawake hawaumii sana ndo inatufanya tuwe tunawaomba sana hela.
Maana mnatuona sisi watoto tusojua maana ya kusalitiwa inaumaje
Kama hutaki kusalitiwa usisaliti
Uchochezi Huu [emoji16]Acha weh
Hapana kuua au kujiua!?? Sitokaa huo ujinga utokee.Kwa Staili Hii, Hasira Haziepukiki, Ima Utaua Au Utajiua, Ipo Siku Tu, Acha Kuwa na Mwanamke Mmoja.
Sio Kwa Kupenda Inatokea tu, Mwanamke Unampenda Kupita Maelezo, Ndio Kakusaliti, Na Ameridhia Muachane, Kuacha Aende, Ni Tafsiri kuwa Umeshindwa, Sio Kirahisi kama Usemavyo, Matokeo Yake Ndio Hayo Tukose Wote, Maana Akiendelea Kuwepo Bado Utaendelea Kuumia tu, Hata Kama MmeachanaHapana kuua au kujiua!?? Sitokaa huo ujinga utokee.
Dawa nimoja, kuacha tu.
Duuhh basi watu tunatofautiana. Na nawashangaaga jamaa ,wanaoachana na mwanamke alafu bado wanaanza kumuwaza.duuhh balaaa.Sio Kwa Kupenda Inatokea tu, Mwanamke Unampenda Kupita Maelezo, Ndio Kakusaliti, Na Ameridhia Muachane, Kuacha Aende, Ni Tafsiri kuwa Umeshindwa, Sio Kirahisi kama Usemavyo, Matokeo Yake Ndio Hayo Tukose Wote, Maana Akiendelea Kuwepo Bado Utaendelea Kuumia tu, Hata Kama Mmeachana
Sawa Mkuu, Kama Una Uwezo Wa Kuacha Na Ku Move On.Duuhh basi watu tunatofautiana. Na nawashangaaga jamaa ,wanaoachana na mwanamke alafu bado wanaanza kumuwaza.duuhh balaaa.
Au unamfuma mwanamke eti kisa unampenda kumwacha huweziii, kuumia unaumia??
Hii shida ya nn mkuu??? ... Mimi ni mtu wa kuchagua moja katika mawili. Nahilo nalolichagua nilazima liwe lafaida kwangu.
Hii inatawaliwa zaidi na nature, wanaume tupo tofauti sana na wanawake. Ninyi mara nyingi huwa mnasamehe tofauti na sisi kusamehe mke aliyeto.mbesha nje ya ndoa huwa tuko wagumu mno!
Hahahaha mkuu ,kwan inakuaje mtu anaumizwa then anashindwa kumove on?? Inakuaje hiii aseee inakuajeee??? Niudhaifu gani huo??.Sawa Mkuu, Kama Una Uwezo Wa Kuacha Na Ku Move On.
Mungu akusimamie ktk hilo maana nakumbuka jamaa yangu aliwahi kuapa hivyo hivyo lakini leo hii anaozea jela kwa kesi ya kujeruhi baada ya kumfumania mkeweHapana kuua au kujiua!?? Sitokaa huo ujinga utokee.
Dawa nimoja, kuacha tu.
Huwa namwambia wife kwamba hata machinjioni wengi wa wanaochinja ni wanaumeNdio hali halisi bora sisi Wanaume tuchepuke sio umkute mke wako anachepuka aina uma sana. Ndio maana Mwanaume anachukua uamuzi wa kuua! Coz it real painfully.