Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hapo kwenye kuchagua Ni Mungu tu kwakweli. Ni Mungu tu atuelekeze maana yeye ndio anajua yupi sahihiAhsante kwa pole yako, mwanaume anatakiwa atumie akili kumpata mke/girl sahihi, ndo maana unaambiwa tafuta wa kufanana nae wewe, shida Wanaume wanaongozwa na hisia za sio akili wakati wa kuchagua, narudia tena tumieni akili kuchagua na kuishi nao(wake/girl)