Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Mkuu umegonga keyboard kwa hisia kali mno. Nikuulize tu kuwa wewe huwa ni mwaminifu katika mahusiano? Yaani ukiwa na mpenzi au mke no cheating kabisa? Kama jibu ni NDYO basi nimekuelewa hisia zako ila kama huwa una cheat basi chukulia poa na ukichapiwa ni siri ya ndani
Mkuu napokua katika mahusiano thabiti huwa sitoki nje ya mwanamke wangu kwaiyo hii kitu inanipaga hali fulan ya hasira napoona usaliti unanukia. Sasa mimj hasira nisehem yangu mbaya ambayo kila siku najitahidi niiepuke.

Kwamantiki hiyo., for the betterment of my health and my life ..kuachana is the only way to go !!!.
 
Mkuu napokua katika mahusiano thabiti huwa sitoki nje ya mwanamke wangu kwaiyo hii kitu inanipaga hali fulan ya hasira napoona usaliti unanukia. Sasa mimj hasira nisehem yangu mbaya ambayo kila siku najitahidi niiepuke.

Kwamantiki hiyo., for the betterment of my health and my life ..kuachana is the only way to go !!!.
Sure Mkuu. Kama kweli ndiyo ULIVYO SERIOUS katika relationship una haki ya hasira. Kama ulivyosema KUACHANA ni jibu tosha. Katika taarifa ya habari ITV saa mbili leo mchungaji aliyefanya ibada ya mazishi ya huyu Nesi amesema ukiona ndani hamuelewani na hatari unaona ni bora uondoke usisubiri kifo kiwatenganishe wakati unaona kabisa maisha yako yako hatarini.
 
Sure Mkuu. Kama kweli ndiyo ULIVYO SERIOUS katika relationship una haki ya hasira. Kama ulivyosema KUACHANA ni jibu tosha. Katika taarifa ya habari ITV saa mbili leo mchungaji aliyefanya ibada ya mazishi ya huyu Nesi amesema ukiona ndani hamuelewani na hatari unaona ni bora uondoke usisubiri kifo kiwatenganishe wakati unaona kabisa maisha yako yako hatarini.
Mkuu mimi ni mkristo , wanaume wengi wa kikristo wanajisahau sana kwakweli ..BIBLIA INASEMA IVI MWANAMME AMUACHE MWANAMKE KWA DHAMBI YA USALITI .

Sasa watu wanajifanyaga wanaupendo wadamu. Kuvumilia tabia zawatu matokeo yake WAMEISHIA KUFA.
 
Mkuu mimi ni mkristo , wanaume wengi wa kikristo wanajisahau sana kwakweli ..BIBLIA INASEMA IVI MWANAMME AMUACHE MWANAMKE KWA DHAMBI YA USALITI .

Sasa watu wanajifanyaga wanaupendo wadamu. Kuvumilia tabia zawatu matokeo yake WAMEISHIA KUFA.
Unaacha afu unaenda oa perhaps alieachwa pia
Nadhani kabla ya kuacha angalia kama haujachangia tatizo kwanza..
Je unampa mkeo haki inavostahili?.amechepuka kwa sababu gani?.
Kama kweli we ni msafi and u was doing ur best basi sawa
Othrwise Mungu anawaona
 
Unaacha afu unaenda oa perhaps alieachwa pia
Nadhani kabla ya kuacha angalia kama haujachangia tatizo kwanza..
Je unampa mkeo haki inavostahili?.amechepuka kwa sababu gani?.
Kama kweli we ni msafi and u was doing ur best basi sawa
Othrwise Mungu anawaona
Kama mwanamme imani yangu nikuhakikisha nitatimiza yotenyaloyangu...alafu nifanye ivo mtu unisaliti?? Cheeeeeee utegemeee nakusemehee?? .

Hapana kwakweli ... Usaliti nichanzo cha kifo..... Sitaki kufa sababu ya mtu .
 
Na ukubwa pia halina mkuu. Kabla hujatenda tafakari kidogo haya.
Ulimtoa wapi
Ulimkutaje
Wewe ni msafi kiasi gani
Umekidhi matarajio yake
Amekidhi matarajio yako.
Kuna maisha bila yeye ?kama yapo yatakuwa vipi.
Baada ya hapo chukua hatua.
C.c kwa watu wote walioko mapenzini
 
Pengine ushawahi kuisikia hii stori.

Kuna mmakonde mkewe alikua malaya sana jamaa akipita mtaani ananyooshewa vidole.
Siku hiyo anarudi nyumbani akakutana na watoto wa shule ya msingi wakisimulia kua wamempiga fiesta mke wa jamaa.

Jamaa akafika nyumbani kwa ghadhabu anamwambia mkewe "Iyeee kukitembeza ntaa njima umeona haitochi umewapelekea mpaka watoto baah, nitafungulia n'jiki chidi mia chaba na mimi nigawe nkundu ntaa wote huu...halafu tuwaulije nani ntamu"
Ha ha ha
 
Kama mwanamme imani yangu nikuhakikisha nitatimiza yotenyaloyangu...alafu nifanye ivo mtu unisaliti?? Cheeeeeee utegemeee nakusemehee?? .

Hapana kwakweli ... Usaliti nichanzo cha kifo..... Sitaki kufa sababu ya mtu .
Waweza dhani mwenzio anafurahia kitu kumbe hafurahii...mambo ya mapenzi ni zaidi ya tuyajuavyo
 
Mwanaume mchungu sana kusalitiwa ...swali je ewe mwanaume je wewe ni msafi?unatimiza haki /wajibu wote ukiwa kama mwanaume kwa mpenz wako?ukipata majibu utajua ufanye nini ukichitiwa
Nikwambie kitu ukiona hutimiziwi na mume wako hakuridhishi ni bora umwambie muachane maana akikukamata unafanywa huko nje Halafu bado unajiita ni mke wake utaumia.
 
Sure Mkuu. Kama kweli ndiyo ULIVYO SERIOUS katika relationship una haki ya hasira. Kama ulivyosema KUACHANA ni jibu tosha. Katika taarifa ya habari ITV saa mbili leo mchungaji aliyefanya ibada ya mazishi ya huyu Nesi amesema ukiona ndani hamuelewani na hatari unaona ni bora uondoke usisubiri kifo kiwatenganishe wakati unaona kabisa maisha yako yako hatarini.
Kweli kabisa na mimi ndo nilichosema hapa
 
Mkuu umegonga keyboard kwa hisia kali mno. Nikuulize tu kuwa wewe huwa ni mwaminifu katika mahusiano? Yaani ukiwa na mpenzi au mke no cheating kabisa? Kama jibu ni NDYO basi nimekuelewa hisia zako ila kama huwa una cheat basi chukulia poa na ukichapiwa ni siri ya ndani
Hahahaha aisee mi naona nimeumbwa tofauti hata kama nina kimada nje lakini nikijua wife anatembea nje itaniumiza sana. Huu ndio ukweli japo mchungu
 
Siwezi kubadilisha msimamo wangu kuhusu usaliti, haitokuja kutokea mimi kumsamehe mwanamke ambae atanisaliti never on Earth hiki ni kama kiapo kwangu.
 
Back
Top Bottom