Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Sawa mkuu
 
Nimepitia michango yavwadau waliowengi, wamekiri kwa namna fulani kuwa wanaume tumeshindwa hata sisi kuelewa msingi mkuu wa kukaa na hivi viumbe vinaitwa wanawake.

Wahenga walusema
Mwanamke ni kiungo cha mwanaume.
Hili inatupasa kulielewa pia

Likaenda mbali zaidi na ikasemekana kuwa
Tunastahili kuishi nao kwa akili kubwa zsidi ya hii tunayoitumia sasa.

Wanaume turudi kwenye misingi, kwani tukilazimisha viumbe hivi vibadilike yatupasa tukumbuke pia kuwa

Kiumbe huyu mwanamke ni kiongoni mwa viumbe hatari na vya maajabu duniani
 

chukua safari ntalipa[emoji122][emoji122][emoji122]
 

natamani wanawake wote. Wangekua nauwelawa kama wako. sidhani kama ndoa zingevunjika,N
 
Wachangiaji wa kike wachache sana huu uzi,au ndio wanaogopa kuuwawa!
 
Na ukubwa pia halina mkuu. Kabla hujatenda tafakari kidogo haya.
Ulimtoa wapi
Ulimkutaje
Wewe ni msafi kiasi gani
Umekidhi matarajio yake
Amekidhi matarajio yako.
Kuna maisha bila yeye ?kama yapo yatakuwa vipi.
Baada ya hapo chukua hatua.
Hamna excuse kwenye hilo swala na kila muda huwa namtaarifu kuwa hakuna dhambi isiyo vumilika kwangu kama hiyo
 
Simu yangu ni yako kivipi wakati kila mtu ana yake?
Ukiona nashika simu yako na wewe shika yangu.
Lakini ukiona simu yako sigusi, mama kaa mbali na simu yangu.
Utapata vidonda vya tumbo uanze kuteseka duniani
 
Aseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…