Wanawake mtambue mwanaume kuvumilia usaliti ni 1 kati ya 10 chezeni kwa step

Hapo kwenye kuchagua Ni Mungu tu kwakweli. Ni Mungu tu atuelekeze maana yeye ndio anajua yupi sahihi
 
Tuko pamoja Chief
 
Ukishaona mumeo hakutimizii mahitaji yako na yupo mwingine unahisi ataweza kukutimizia basi omba kuachana na mumeo ili uende kwa mwanaume mpya lakini tatizo lenu mnataka kuliwa kule na huku hiyo haivumiliki hata kama mwanaume ndio kachangia tatizo.
 
Mm ndo sinaga kurembesha nitamvumilia mwanaume vyote lkn kamwe siwezi kumvumilia mwanaume malaya naachana nae mchana kweupe sijui nmetoka nae mbali hilo mm siangalii. Simpe di mwanaume asiyejua kufunga zipu yake.
 
Ukiona ndoa imevunjika ujue mwanaume kasababisha, (Ishi na mke wako kwa ajili)
Ndugu ngoja nikusaidie kitu ili uweze kuelewa..ndoa nyingi huvunjika hasa miaka ya hivi karibuni kwasababu wanawake wametoka kwenye misingi yao,mleta uzi ameeleza vyema.Wanaume huwa wanavumilia sana maudhi ya wake zao au wapenzi wao huwa hawasemi au kusimulia kwa mtu akiamini mwanamke wake atabadilika.lakini kwa bahati mbaya sana wanawake huanza kuelewa wakati tayari mwanaume ameshachoka na anaanza kuonesha sasa kuwa yale maudhi na karaha yaliyokusanyika katika moyo wake kwa kipindi chote.hapo mwanamke ndipo ataanza kulalamika kuwa ananyanyaswa,anateswa,mwanaume hampendi tena n.k.lakini kumbe hapo mwanzo alikuwa na nafasi ya kurekebisha kipindi cha nyuma wakati mume wake anajaribu na kumtaka kuwa na tabia au mwenendo fulani unaofaa.hivyo kujisahau kwa wanawake katika kufuata kanuni zile za kuishi na mwanaume anakuwa anatengeneza timed bomb ambalo halijulikani litalipuka lini.kwa kifupi ni hivyo ndugu.
 
Ukishaona mumeo hakutimizii mahitaji yako na yupo mwingine unahisi ataweza kukutimizia basi omba kuachana na mumeo ili uende kwa mwanaume mpya lakini tatizo lenu mnataka kuliwa kule na huku hiyo haivumiliki hata kama mwanaume ndio kachangia tatizo.
Kabisa haivumiliki hiyo
 
Hahahaa we mshkaji unaonekana umetupania sana wanawake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaa we mshkaji unaonekana umetupania sana wanawake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana mkuu sio km nimewapania, bila shaka mwanamke anaakili na anayejua zuri nabaya..kwaupande wangu nitajitajidi kua namkumbusha.

Alafu ktk yote bado anisaliti?? Alafu nitulie?? Hapana.....nmekua mgumu sana maishan mwangu kuruhusu ujinga wamtu ndo uniumize.

Nitakua wamwisho kwakweli. Nibora nionekane mkoloni tu.
 
Mkuu unadhani wanaochukua hatua za kuuwa hawatafakari. Hapa ni kuomba hekima za kimungu
Unamuonea tu Mungu!kichwa amekupa cha nini sasa kama hukitumii. Uliacha kunyonya ziwa ur first food,haikuwa kesi,labda ulishapoteza wapendwa kibao maisha yakaendelea,ukafeli shule ukatafuta option nyingine!!!aaah Leo mapenzi yakupeleke jela?utapoteza mangapi? Mtafute hata Lulu tu akupe ushauri nasaha.
 
Mwanaume anayevumilia usaliti atakuwa na mchanganyiko wa roho yake, maana roho ya kiume halisi haiwezi vumilia kabisa hayo mambo
 
Nilikuwa na wazo la kuchepuka ,ila baada hizi comments naona nitamkera mke wangu akijua ,nabaki njia kuu,eeh Mwenyezi Mungu nisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…