Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hapo kwenye kuchagua Ni Mungu tu kwakweli. Ni Mungu tu atuelekeze maana yeye ndio anajua yupi sahihiAhsante kwa pole yako, mwanaume anatakiwa atumie akili kumpata mke/girl sahihi, ndo maana unaambiwa tafuta wa kufanana nae wewe, shida Wanaume wanaongozwa na hisia za sio akili wakati wa kuchagua, narudia tena tumieni akili kuchagua na kuishi nao(wake/girl)
YapHii ni kisomi zaidi sio
Sawa sawa ndugu
Ni Kweli kabisa, maana sisi tunadanganywa na macho, Mungu tu atusaidieHapo kwenye kuchagua Ni Mungu tu kwakweli. Ni Mungu tu atuelekeze maana yeye ndio anajua yupi sahihi
Tuko pamoja ChiefInawezekana kabisa, Inategemea na imani yako pamoja na jinsi gani unamwishia Mungu, hili jambo sio la kutumia akili za kibinadamu mkuu, ukiambiwa akili ujue ni akili ya kimungu mkuu, na hata unapowaza hili ukiwaza kibinadamu huwezi kukubaliana na hili, (Hakuna jambo gumu la kumshinda Mungu)
Ukishaona mumeo hakutimizii mahitaji yako na yupo mwingine unahisi ataweza kukutimizia basi omba kuachana na mumeo ili uende kwa mwanaume mpya lakini tatizo lenu mnataka kuliwa kule na huku hiyo haivumiliki hata kama mwanaume ndio kachangia tatizo.Unaacha afu unaenda oa perhaps alieachwa pia
Nadhani kabla ya kuacha angalia kama haujachangia tatizo kwanza..
Je unampa mkeo haki inavostahili?.amechepuka kwa sababu gani?.
Kama kweli we ni msafi and u was doing ur best basi sawa
Othrwise Mungu anawaona
Nimesikitika sana kuhusiana na kifo cha huyo dada. Nimesikitika sana sana..... Nimeumia sana.Vinginevyo nini mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] au ndio mambo Kama ya huyo mchungaji huko Dodoma?
Ndugu ngoja nikusaidie kitu ili uweze kuelewa..ndoa nyingi huvunjika hasa miaka ya hivi karibuni kwasababu wanawake wametoka kwenye misingi yao,mleta uzi ameeleza vyema.Wanaume huwa wanavumilia sana maudhi ya wake zao au wapenzi wao huwa hawasemi au kusimulia kwa mtu akiamini mwanamke wake atabadilika.lakini kwa bahati mbaya sana wanawake huanza kuelewa wakati tayari mwanaume ameshachoka na anaanza kuonesha sasa kuwa yale maudhi na karaha yaliyokusanyika katika moyo wake kwa kipindi chote.hapo mwanamke ndipo ataanza kulalamika kuwa ananyanyaswa,anateswa,mwanaume hampendi tena n.k.lakini kumbe hapo mwanzo alikuwa na nafasi ya kurekebisha kipindi cha nyuma wakati mume wake anajaribu na kumtaka kuwa na tabia au mwenendo fulani unaofaa.hivyo kujisahau kwa wanawake katika kufuata kanuni zile za kuishi na mwanaume anakuwa anatengeneza timed bomb ambalo halijulikani litalipuka lini.kwa kifupi ni hivyo ndugu.Ukiona ndoa imevunjika ujue mwanaume kasababisha, (Ishi na mke wako kwa ajili)
Nimejaribu kufikiria kwa mapana hii kauli yako nahisi ina mantiki.lakini yapaswa kufikiri kwa kina sana..Kwa Staili Hii, Hasira Haziepukiki, Ima Utaua Au Utajiua, Ipo Siku Tu, Acha Kuwa na Mwanamke Mmoja.
Kabisa haivumiliki hiyoUkishaona mumeo hakutimizii mahitaji yako na yupo mwingine unahisi ataweza kukutimizia basi omba kuachana na mumeo ili uende kwa mwanaume mpya lakini tatizo lenu mnataka kuliwa kule na huku hiyo haivumiliki hata kama mwanaume ndio kachangia tatizo.
Inaumiza kiukweli siyo jambo zuri hata kidogoNimesikitika sana kuhusiana na kifo cha huyo dada. Nimesikitika sana sana..... Nimeumia sana.
Upendo ni zaidi ya kuhudumiwa mkuuSasa kama mwanaume anahudumiwa na huyo mwanamke unadhani atashindwa kuvumilia ?
Hahahaa we mshkaji unaonekana umetupania sana wanawake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwanamke? Nifanyie ujinga lkn sio usaliti. Usaliti nikauthibitisha nilazima tuachane tu tena nbora uniache mapema kabla sijajua, kwasababu nikijua ,ukiona sijakuacha km weee ni mpenzi/mchumba tutaishia tu kukutumia lkn sitokaa nifanye hatua nyingine yabhapo naabadae bado tutaachana tu kwasababu hata mahusiano yenyewe hatokaa ayafurahie tena,..... Shida moja nilonayo nimgumu kusahau na msamaha wangu unategemea nakosa .
Simpo.
Hapana mkuu sio km nimewapania, bila shaka mwanamke anaakili na anayejua zuri nabaya..kwaupande wangu nitajitajidi kua namkumbusha.Hahahaa we mshkaji unaonekana umetupania sana wanawake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unamuonea tu Mungu!kichwa amekupa cha nini sasa kama hukitumii. Uliacha kunyonya ziwa ur first food,haikuwa kesi,labda ulishapoteza wapendwa kibao maisha yakaendelea,ukafeli shule ukatafuta option nyingine!!!aaah Leo mapenzi yakupeleke jela?utapoteza mangapi? Mtafute hata Lulu tu akupe ushauri nasaha.Mkuu unadhani wanaochukua hatua za kuuwa hawatafakari. Hapa ni kuomba hekima za kimungu