Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
WANAUME WANA MAUMIVU PIA

Mwanamke mmoja aliniambia, 'Ilinichukua miaka kujua kwamba wanaume pia hulia. Nilimchukulia mume wangu kama binadamu bora. Ninamwona akitoka nyumbani kila siku na kurudi akitupa mahitaji yetu. Siku moja nikiwa nimetoka nyumbani na yeye alikuwa nyumbani, nilikumbuka kwamba nilihitaji kuchukua kitu nilikuwa nimekisahau nyumbani, niligeuka na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani, nilijaribu kupitia mlango wa nyuma ambao ulikuwa karibu na dirisha la chumba chetu. Nilimsikia mume wangu akilia kama mtoto mchanga akimwomba Mungu anisaidie nipate kazi ili nimsaidie kutunza familia. Hajawahi kunilalamikia hapo awali lakini siku hiyo, nilitokwa na machozi nikigundua kuwa mume wangu ameshikilia maumivu makali yake peke yake"

Binti msichana aliyeolewa muda si mrefu sana, aliwahi kwenda kulalamika kwa mama yake kwamba mume wake amekuwa hamtimizii mahitaji yake, basi yule mama kwa busara kubwa akamuuliza binti yake, ‘Umenunua vitu vingapi kati ya hivyo?” binti akakaa kimya na kusema, ‘Lakini huyo ni mume wangu si ana wajibu wa kunihudumia? Mama akamjibu, 'Je, umewahi kujua vitu ambavyo mumeo anataka umnunulie?".

Wanaume daima hujaribu kuficha maumivu yao.

Wanaume wanaweza kuwa kwenye msoto na wakati mgumu kifedha lakini wanaweza kufake kujifanya kuwa wana kila kitu.

Wanaume wengi wameoa lakini wana maisha ya upweke kupita maelezo.
Wewe mwanamke wakati mwingine jaribu kuongea na mume wako kwa utaratibu na utulivu utapata kitu kikubwa sana kutoka kwa wanaume, Wanaume huwa sio kwamba wako busy kila wakati kama wanawake wanavyofikiria.

Unapaswa kuelewa kwamba mume wako ana maumivu na ana mahitaji pia. Usimhukumu kwa mambo unayotaka kutoka kwake tu, Wakati mwingine mume wako hana mambo unayotaka wewe.

Wanaume pia wana mahitaji na matatizo ya kihisia. Wanaume bado wanalia kwa mapenzi na wanahitaji upendo wa mwanamke ...
 
Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta🙃
Kuna tiba katika machozi, hata unapofiwa na mtu muhimu tunajikaza kutokulia lakini ukitokwa na machozi ya uchungu na kulia kishaolin ni tiba kubwa sana ndani ya nafsi na mwili wako.
 
WANAUME WANA MAUMIVU PIA

Mwanamke mmoja aliniambia, 'Ilinichukua miaka kujua kwamba wanaume pia hulia. Nilimchukulia mume wangu kama binadamu bora. Ninamwona akitoka nyumbani kila siku na kurudi akitupa mahitaji yetu. Siku moja nikiwa nimetoka nyumbani na yeye alikuwa nyumbani, nilikumbuka kwamba nilihitaji kuchukua kitu nilikuwa nimekisahau nyumbani, niligeuka na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani, nilijaribu kupitia mlango wa nyuma ambao ulikuwa karibu na dirisha la chumba chetu. Nilimsikia mume wangu akilia kama mtoto mchanga akimwomba Mungu anisaidie nipate kazi ili nimsaidie kutunza familia. Hajawahi kunilalamikia hapo awali lakini siku hiyo, nilitokwa na machozi nikigundua kuwa mume wangu ameshikilia maumivu makali yake peke yake"

Binti msichana aliyeolewa muda si mrefu sana, aliwahi kwenda kulalamika kwa mama yake kwamba mume wake amekuwa hamtimizii mahitaji yake, basi yule mama kwa busara kubwa akamuuliza binti yake, ‘Umenunua vitu vingapi kati ya hivyo?” binti akakaa kimya na kusema, ‘Lakini huyo ni mume wangu si ana wajibu wa kunihudumia? Mama akamjibu, 'Je, umewahi kujua vitu ambavyo mumeo anataka umnunulie?".

Wanaume daima hujaribu kuficha maumivu yao.

Wanaume wanaweza kuwa kwenye msoto na wakati mgumu kifedha lakini wanaweza kufake kujifanya kuwa wana kila kitu.

Wanaume wengi wameoa lakini wana maisha ya upweke kupita maelezo.
Wewe mwanamke wakati mwingine jaribu kuongea na mume wako kwa utaratibu na utulivu utapata kitu kikubwa sana kutoka kwa wanaume, Wanaume huwa sio kwamba wako busy kila wakati kama wanawake wanavyofikiria.

Unapaswa kuelewa kwamba mume wako ana maumivu na ana mahitaji pia. Usimhukumu kwa mambo unayotaka kutoka kwake tu, Wakati mwingine mume wako hana mambo unayotaka wewe.

Wanaume pia wana mahitaji na matatizo ya kihisia. Wanaume bado wanalia kwa mapenzi na wanahitaji upendo wa mwanamke ...
Hawayajui haya basi tu makoromeo yana mengi basi unaamua kukaa kimya.
 
As a hustler with no secured financial source am scared of failing my family. I will be shown bills and kids' school fees and I will just say "I'll work on it"

The burden gets heavier everyday.

But I have never cried. But getting scared? That happens all the damn time, like "What if there will be no food tomorrow?" "What if rent comes right now?"

Crying is an option but I've never used it yet.
 
WANAUME WANA MAUMIVU PIA

Mwanamke mmoja aliniambia, 'Ilinichukua miaka kujua kwamba wanaume pia hulia. Nilimchukulia mume wangu kama binadamu bora. Ninamwona akitoka nyumbani kila siku na kurudi akitupa mahitaji yetu. Siku moja nikiwa nimetoka nyumbani na yeye alikuwa nyumbani, nilikumbuka kwamba nilihitaji kuchukua kitu nilikuwa nimekisahau nyumbani, niligeuka na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani, nilijaribu kupitia mlango wa nyuma ambao ulikuwa karibu na dirisha la chumba chetu. Nilimsikia mume wangu akilia kama mtoto mchanga akimwomba Mungu anisaidie nipate kazi ili nimsaidie kutunza familia. Hajawahi kunilalamikia hapo awali lakini siku hiyo, nilitokwa na machozi nikigundua kuwa mume wangu ameshikilia maumivu makali yake peke yake"

Binti msichana aliyeolewa muda si mrefu sana, aliwahi kwenda kulalamika kwa mama yake kwamba mume wake amekuwa hamtimizii mahitaji yake, basi yule mama kwa busara kubwa akamuuliza binti yake, ‘Umenunua vitu vingapi kati ya hivyo?” binti akakaa kimya na kusema, ‘Lakini huyo ni mume wangu si ana wajibu wa kunihudumia? Mama akamjibu, 'Je, umewahi kujua vitu ambavyo mumeo anataka umnunulie?".

Wanaume daima hujaribu kuficha maumivu yao.

Wanaume wanaweza kuwa kwenye msoto na wakati mgumu kifedha lakini wanaweza kufake kujifanya kuwa wana kila kitu.

Wanaume wengi wameoa lakini wana maisha ya upweke kupita maelezo.
Wewe mwanamke wakati mwingine jaribu kuongea na mume wako kwa utaratibu na utulivu utapata kitu kikubwa sana kutoka kwa wanaume, Wanaume huwa sio kwamba wako busy kila wakati kama wanawake wanavyofikiria.

Unapaswa kuelewa kwamba mume wako ana maumivu na ana mahitaji pia. Usimhukumu kwa mambo unayotaka kutoka kwake tu, Wakati mwingine mume wako hana mambo unayotaka wewe.

Wanaume pia wana mahitaji na matatizo ya kihisia. Wanaume bado wanalia kwa mapenzi na wanahitaji upendo wa mwanamke ...
Oa at ur own risk
 
WANAUME WANA MAUMIVU PIA

Mwanamke mmoja aliniambia, 'Ilinichukua miaka kujua kwamba wanaume pia hulia. Nilimchukulia mume wangu kama binadamu bora. Ninamwona akitoka nyumbani kila siku na kurudi akitupa mahitaji yetu. Siku moja nikiwa nimetoka nyumbani na yeye alikuwa nyumbani, nilikumbuka kwamba nilihitaji kuchukua kitu nilikuwa nimekisahau nyumbani, niligeuka na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani, nilijaribu kupitia mlango wa nyuma ambao ulikuwa karibu na dirisha la chumba chetu. Nilimsikia mume wangu akilia kama mtoto mchanga akimwomba Mungu anisaidie nipate kazi ili nimsaidie kutunza familia. Hajawahi kunilalamikia hapo awali lakini siku hiyo, nilitokwa na machozi nikigundua kuwa mume wangu ameshikilia maumivu makali yake peke yake"

Binti msichana aliyeolewa muda si mrefu sana, aliwahi kwenda kulalamika kwa mama yake kwamba mume wake amekuwa hamtimizii mahitaji yake, basi yule mama kwa busara kubwa akamuuliza binti yake, ‘Umenunua vitu vingapi kati ya hivyo?” binti akakaa kimya na kusema, ‘Lakini huyo ni mume wangu si ana wajibu wa kunihudumia? Mama akamjibu, 'Je, umewahi kujua vitu ambavyo mumeo anataka umnunulie?".

Wanaume daima hujaribu kuficha maumivu yao.

Wanaume wanaweza kuwa kwenye msoto na wakati mgumu kifedha lakini wanaweza kufake kujifanya kuwa wana kila kitu.

Wanaume wengi wameoa lakini wana maisha ya upweke kupita maelezo.
Wewe mwanamke wakati mwingine jaribu kuongea na mume wako kwa utaratibu na utulivu utapata kitu kikubwa sana kutoka kwa wanaume, Wanaume huwa sio kwamba wako busy kila wakati kama wanawake wanavyofikiria.

Unapaswa kuelewa kwamba mume wako ana maumivu na ana mahitaji pia. Usimhukumu kwa mambo unayotaka kutoka kwake tu, Wakati mwingine mume wako hana mambo unayotaka wewe.

Wanaume pia wana mahitaji na matatizo ya kihisia. Wanaume bado wanalia kwa mapenzi na wanahitaji upendo wa mwanamke ...
 
WANAUME WANA MAUMIVU PIA

Mwanamke mmoja aliniambia, 'Ilinichukua miaka kujua kwamba wanaume pia hulia. Nilimchukulia mume wangu kama binadamu bora. Ninamwona akitoka nyumbani kila siku na kurudi akitupa mahitaji yetu. Siku moja nikiwa nimetoka nyumbani na yeye alikuwa nyumbani, nilikumbuka kwamba nilihitaji kuchukua kitu nilikuwa nimekisahau nyumbani, niligeuka na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani, nilijaribu kupitia mlango wa nyuma ambao ulikuwa karibu na dirisha la chumba chetu. Nilimsikia mume wangu akilia kama mtoto mchanga akimwomba Mungu anisaidie nipate kazi ili nimsaidie kutunza familia. Hajawahi kunilalamikia hapo awali lakini siku hiyo, nilitokwa na machozi nikigundua kuwa mume wangu ameshikilia maumivu makali yake peke yake"

Binti msichana aliyeolewa muda si mrefu sana, aliwahi kwenda kulalamika kwa mama yake kwamba mume wake amekuwa hamtimizii mahitaji yake, basi yule mama kwa busara kubwa akamuuliza binti yake, ‘Umenunua vitu vingapi kati ya hivyo?” binti akakaa kimya na kusema, ‘Lakini huyo ni mume wangu si ana wajibu wa kunihudumia? Mama akamjibu, 'Je, umewahi kujua vitu ambavyo mumeo anataka umnunulie?".

Wanaume daima hujaribu kuficha maumivu yao.

Wanaume wanaweza kuwa kwenye msoto na wakati mgumu kifedha lakini wanaweza kufake kujifanya kuwa wana kila kitu.

Wanaume wengi wameoa lakini wana maisha ya upweke kupita maelezo.
Wewe mwanamke wakati mwingine jaribu kuongea na mume wako kwa utaratibu na utulivu utapata kitu kikubwa sana kutoka kwa wanaume, Wanaume huwa sio kwamba wako busy kila wakati kama wanawake wanavyofikiria.

Unapaswa kuelewa kwamba mume wako ana maumivu na ana mahitaji pia. Usimhukumu kwa mambo unayotaka kutoka kwake tu, Wakati mwingine mume wako hana mambo unayotaka wewe.

Wanaume pia wana mahitaji na matatizo ya kihisia. Wanaume bado wanalia kwa mapenzi na wanahitaji upendo wa mwanamke ...
Mashallah!! Nimejifunza kitu

Thanks
 
Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta[emoji854]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] io kurusha rusha miguu sasa
 
Back
Top Bottom