Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

😂😂😂😂
Natamani siku moja nishuhudie jitu likilia🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unakaa kimya ili kuepusha sintofahamu hii kutokea hadharani simultaneously:
Mama: wui-wui-wui- wui....
Baba: Woi-woi-woi-woi....
Sasa nani amsaidie/amliwaze mwenzake? Huoni itakuwa ni kituko?
Hata inapotokea msiba ; Mwanaume unakalishwa chini na neno la kwanza unaambiwa "Jua/Tambua kwamba wewe ni mwanaume". Halafu ".........Baba yako au Mama yako umpendaye sana hayupo nasi tena". halafu wanakuangalia usoni kuisoma reaction yako baada ya sentensi hiyo.
Dah kuna kauli zinakuja na maumivu mazito

""Wewe ni mwanaume,familia ipo mikononi mwako...,nasikitika kukwambia mama yako amefariki" halafu wazee wanakuangalia usoni huku wamekukazia sura na mimi niko na 17years tu .sikulia hata kidogo ila nilipoamka usiku kama sa8 hivi nililia sana yani hadi sauti ikakauka.halafu asubui nikakaza

Kila mtu akilia analitaja na jina lako aaah dah uanaume kazi
 
Kipindi niko darasa la 7 nilikuwa 12 years babu yangu alifariki,,tukaenda msibani familia nzima na ndio siku namuona Mzee anatokwa chozi..nikiangaliw familia nzima wanaangua vilio matata sana alafu mimi hamna kitu hadi nikaanza kujiona kama snitch.. nikasema wacha nitafute chaka nijaribu kulia nikiweza tu naenda kuungana nao kule,, jaribu kulia lakini hakuna kitu,nikaona wacha nikale zambalau tu mda wa kuaga tapita
 
Hakika, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Dah kuna kauli zinakuja na maumivu mazito

""Wewe ni mwanaume,familia ipo mikononi mwako...,nasikitika kukwambia mama yako amefariki" halafu wazee wanakuangalia usoni huku wamekukazia sura na mimi niko na 17years tu .sikulia hata kidogo ila nilipoamka usiku kama sa8 hivi nililia sana yani hadi sauti ikakauka.halafu asubui nikakaza

Kila mtu akilia analitaja na jina lako aaah dah uanaume kazi
Sio kidogo. We acha tu.
 
Na Yesu akalia Machozi: John 11:35

Mstari mfupi katika biblia!

Kuna Umuhimu wa kuanzisha Mahali salama penye Vyumba vya ndani visivyotoa sauti ambavyo wanaume ( na wanawake wengine) watakua wanalipia Kwenda Kupata Huduma ya Kulia jinsi wanavyoweza!
🤣🤣🤣Halafu wakitoka nje wanaume wote wanafuta machozi fasta na kupotezea huku wakiwaachia wanawake wengine kumalizia-malizia kwa gharama zao.
 
Maumivu haya huwa nafuu pale ambapo nwanaume anapata mwanamke wa kumtuliza na mwenye kuwa na msaada, i do respect that wanaume wanapitia maumivu makubwa especially kwa family issues na wanajinyimaaa sanaaaa
 
As a hustler with no secured financial source am scared of failing my family. I will be shown bills and kids' school fees and I will just say "I'll work on it"

The burden gets heavier everyday.

But I have never cried. But getting scared? That happens all the damn time, like "What if there will be no food tomorrow?" "What if rent comes right now?"

Crying is an option but I've never used it yet.
This is so touching
 
Weeee! watoto wanililie!! ....... na zee zima!! lenye mindevu kila mahala nalo lini lilie!!! mweee! ntakupiga mitama ukalilie huko mbele vizuri!!....tafuta pesa nile na watoto Nyambaf!!! nacho fanya mie nikukuombea tuuu!!

km huwezi kwanini uliwowaa?? au laa acha niache nisepe zangu uone km ntakufa !!...mnajifanya kuwowa kuumbe hamana kitu!! kaa ivovivo!!
 
Weeee! watoto wanililie!! ....... na zee zima!! lenye mindevu kila mahala nalo lini lilie!!! mweee! ntakupiga mitama ukalilie huko mbele vizuri!!....tafuta pesa nile na watoto Nyambaf!!! nacho fanya mie nikukuombea tuuu!!

km huwezi kwanini uliwowaa?? au laa acha niache nisepe zangu uone km ntakufa !!...mnajifanya kuwowa kuumbe hamana kitu!! kaa ivovivo!!
Atakayekuowa wewe kala hasara na stroke itamuhusu.
 
Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta[emoji854]
Duh! Unaliaa?? Mmmh asee hapana izo hard time zipo ila bora ukapige Monde asee.. then mkeo nae alie?
 
Atakayekuowa wewe kala hasara na stroke itamuhusu.
Tena kabisaaa na aende tu! asije mie nataka chuma cha pua mkurya hasaa!! ngumi jiwe!! hakuname kulia lia hapa!......akizidi kulia namchapa makonde tena si ya kitoto!!.....Dume zima unalia??? sasa nani abembeleze mwenzie hivi nyie wazaramo mna nini???

ARDHI yooote hii, ..... km vepe kamata jembe tuuu kimya kimya!! sihitaji kujua mie .....ingia msimbazi huko!!...komaa huko huko!!! mpaka kieleweke......kamata chupa za palstiki hukoooo!! kalime mkoa kivyako lete hela hapa!! .........ndo uanaume!!
 
Kila siku unamuumiza mkeo unazani hata atafuatilia muda gani huwa unalia? haa haa ha wengi huwa wanajifanya mabaunsa wakubana mchozi.
 
Back
Top Bottom