Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Tunajua kuwa huwa mnajikaza tuNatamani wanawake wapitie uzi huu,
Hakika umenena kweli tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajua kuwa huwa mnajikaza tuNatamani wanawake wapitie uzi huu,
Hakika umenena kweli tupu.
Bufa laazizi usilie lie ila kulia mara moja inapunguza machungu, na si wajua sintokufuta machozi bali nitalia nawe.??Wanaume tuna maumivu kweli ila kulialia sio mchongo.
Mwanaume wa kiafrika lazima uuvae ubandidu. Sisemi wasizungumze na wenza/familia zao mambo yanayo wasibu la hasha ila usijilegeze sana, hata ukilia kama mtoto maisha ni magumu and it's gets even tougher kila siku.
Hizi kampeni za siku hizi za kutaka wanaume wajilize na kutema nyongo zao kama wanawake on regular is feminization of a black man na mimi nasimama nayo kinyume.
Carleen eti laazizi nianze kulia lia?
Yaani wewe upo against na sisi siku zotehizo ni story tu
pata hela tujue tabia yako
Sema we mwanamke una mdomo sanaWeeee! watoto wanililie!! ....... na zee zima!! lenye mindevu kila mahala nalo lini lilie!!! mweee! ntakupiga mitama ukalilie huko mbele vizuri!!....tafuta pesa nile na watoto Nyambaf!!! nacho fanya mie nikukuombea tuuu!!
km huwezi kwanini uliwowaa?? au laa acha niache nisepe zangu uone km ntakufa !!...mnajifanya kuwowa kuumbe hamana kitu!! kaa ivovivo!!
Jamani!! kuwakumbusha wajibu wenu siyo maneno machafu! niombe samahani!! aliye sema ''mtakula kwa jasho lenu'' .... siyo mie!.. mnamjua fika!!.....kosa langu mie nini?? hadi unihukumu ivo?? usijitoe ufahamu???...na bado..Sema we mwanamke una mdomo sana
Ila cha ajabu nakuwa turned on na Maneno yako machafu
Is that weird ?
Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta[emoji854]
As a hustler with no secured financial source am scared of failing my family. I will be shown bills and kids' school fees and I will just say "I'll work on it"
The burden gets heavier everyday.
But I have never cried. But getting scared? That happens all the damn time, like "What if there will be no food tomorrow?" "What if rent comes right now?"
Crying is an option but I've never used it yet.
Upo sahihi kabisa mkuuWANAUME WANA MAUMIVU PIA
Mwanamke mmoja aliniambia, 'Ilinichukua miaka kujua kwamba wanaume pia hulia. Nilimchukulia mume wangu kama binadamu bora. Ninamwona akitoka nyumbani kila siku na kurudi akitupa mahitaji yetu. Siku moja nikiwa nimetoka nyumbani na yeye alikuwa nyumbani, nilikumbuka kwamba nilihitaji kuchukua kitu nilikuwa nimekisahau nyumbani, niligeuka na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani, nilijaribu kupitia mlango wa nyuma ambao ulikuwa karibu na dirisha la chumba chetu. Nilimsikia mume wangu akilia kama mtoto mchanga akimwomba Mungu anisaidie nipate kazi ili nimsaidie kutunza familia. Hajawahi kunilalamikia hapo awali lakini siku hiyo, nilitokwa na machozi nikigundua kuwa mume wangu ameshikilia maumivu makali yake peke yake"
Binti msichana aliyeolewa muda si mrefu sana, aliwahi kwenda kulalamika kwa mama yake kwamba mume wake amekuwa hamtimizii mahitaji yake, basi yule mama kwa busara kubwa akamuuliza binti yake, ‘Umenunua vitu vingapi kati ya hivyo?” binti akakaa kimya na kusema, ‘Lakini huyo ni mume wangu si ana wajibu wa kunihudumia? Mama akamjibu, 'Je, umewahi kujua vitu ambavyo mumeo anataka umnunulie?".
Wanaume daima hujaribu kuficha maumivu yao.
Wanaume wanaweza kuwa kwenye msoto na wakati mgumu kifedha lakini wanaweza kufake kujifanya kuwa wana kila kitu.
Wanaume wengi wameoa lakini wana maisha ya upweke kupita maelezo.
Wewe mwanamke wakati mwingine jaribu kuongea na mume wako kwa utaratibu na utulivu utapata kitu kikubwa sana kutoka kwa wanaume, Wanaume huwa sio kwamba wako busy kila wakati kama wanawake wanavyofikiria.
Unapaswa kuelewa kwamba mume wako ana maumivu na ana mahitaji pia. Usimhukumu kwa mambo unayotaka kutoka kwake tu, Wakati mwingine mume wako hana mambo unayotaka wewe.
Wanaume pia wana mahitaji na matatizo ya kihisia. Wanaume bado wanalia kwa mapenzi na wanahitaji upendo wa mwanamke ...
Hayo nitayaelewa Kwa Mwanaume ambaye yuko honest Kwa mkewe tu lakini Kwa Mwanaume bandidu mchepukaji wala!
Kaka ukiweza kutoka hapo pia unstahili hongera ila hii ni asili kabisa ya mwanaume na tumelelewa hivyo. Tangu utoto unaambiwa na baba na mama ila haswa baba na kaka wakubwa usilie ww mwanaume, jikaze. Basi inajengwa hvyo tangu asili. Sis wengine tukiwa wenyw ni walaini mno, tunalia hata kwa scene za simanzi tukiwatch movies.Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta[emoji854]