Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta🙃

Tatizo ni kuweza kufanya hii kitu, hata nijikamue je, chozi huwa haliji kabisa kabisa,

Ila.unasikia tu maumivu ya ndani, ila chozi wapi mazeee,,
 
Kwa nini ukae kimya mkuu
Unakaa kimya ili kuepusha sintofahamu hii kutokea hadharani simultaneously:
Mama: wui-wui-wui- wui....
Baba: Woi-woi-woi-woi....
Sasa nani amsaidie/amliwaze mwenzake? Huoni itakuwa ni kituko?
Hata inapotokea msiba ; Mwanaume unakalishwa chini na neno la kwanza unaambiwa "Jua/Tambua kwamba wewe ni mwanaume". Halafu ".........Baba yako au Mama yako umpendaye sana hayupo nasi tena". halafu wanakuangalia usoni kuisoma reaction yako baada ya sentensi hiyo.
 
Ili nilie mbele ya mke wng lbd niwe nimefiwa la sivyo mzee wng ntayabeba hayo maumivu nashukuru mungu kamchepuko mara nyingi kana nipoza maumivu ya home
 
hizo ni story tu


pata hela tujue tabia yako
 
Na Yesu akalia Machozi: John 11:35

Mstari mfupi katika biblia!

Kuna Umuhimu wa kuanzisha Mahali salama penye Vyumba vya ndani visivyotoa sauti ambavyo wanaume ( na wanawake wengine) watakua wanalipia Kwenda Kupata Huduma ya Kulia jinsi wanavyoweza!
 
Back
Top Bottom