Wanawake muwe makini wanaume ni wachache sana

 
Kama ni hivyo kwann wanawake wawe na zaidi ya mwanaume mmoja kitu ambacho upelekea kuachwa na yule wa kwanza, na kwann wanaume upata taabu sana kumpata mwenza? mfano tafta mwanake wa kuoa sasaiv kila mwanamke atakwambia ana wake anasubiri tu atoke masomoni tufunge ndoa, labda uchumbie wa kidacho cha pili au chekechea.wakishazidi hapo ni shida tupu.
 

Hiyo Mkuu isikupe tabu, Mwanamke akikuambia ana mtu wake sijui anamsubiri ujue huyo Mjinga tu. Nasema Mjinga kwa maana ya kwamba hajui analolifanya litamgharimu, mwanaume tena aliyechuoni ambako mademu wamejaa shazi huwa hawakosi mademu na mwisho wa siku huyu demu atakuja kuletewa Kadi ya harusi tu au kusikia Jamaa ameoa.
Mwanamke kukuambia anamshikaji wake Yupo Chuo ni mikwara tu, kaza tu Mzee atakupa tunda. Fimbo ya mbali haiui nyoka.
 
Kwa Tanzania tofauti sio kubwa ki vile ndiyo maana upungufu wa wanaume hauonekani, hiyo takwimu ni ya kidunia, wadada wakitanzania msihofu
 
Bwana bwana iko hivi.. Wanawake wa ukweli aka standard pia wako wachache. Saivi maronyaronya ni meng mno sisemi kwa ubaya. Hata nyinyi wanaume mnatakiwa muwe makini.

Saivi michina imeongezeka sio wanaume sio wanawake wote faken kwahyo everybody anatakiwa awe careful sana. Ama la kama unahisi kisa we mwanaume una a great range of choice be my guest uone katika 1000 utakaowapata pisi za kwenda au mwanamke wa kuweka ndani ni ngapi!

Na kumbuka to every action there is an equal and opposite reaction sasa wewe mwanaume hujielewielewi af oooh wanawake wengi basi sawa yetu macho na masikio!!!
#naongeaninihiki#
 
Wanaume tujitahidi kujitwalia wawili wawili, walau tutapunguza tatizo. Hapo takwimu za hanithi, domo zege, wapiga puli etc hazijawekwa.
 
Wanawake kweli ni wengi ila wanawake warembo, wenye misambwanda na vile vimpendezavyo mwanaume wapo wachache mmnooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…