Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningeandika ulanzi(ulaasi)ungejua muhehe?[emoji23][emoji23][emoji23],Wewe utakuwa ni mwenyeji wa mkoa wa Kagera.
Hahahahaha mabwana 4 ni kawaida 😅Lakin cha kushangaza hakuna mwanamke aliyekuwa single, kuna wanawake wanamabwana adi wanne,
LIFE CYCLE
Hahahah kwa hiki kicheko huenda kuna kundi dogo ambalo watajibidiisha kula nyex huku wengi wetu tukiunga mkono juhudi kinafiki😅🤣🤣🤣 Ngoja tuanzishe mugomo wa kutongoza ili waamini hili.
[emoji23][emoji23]iseee umetisha Sana mkuuApo bado wapiga nyeto,madomo zege, walemavu
Wanaume wanaohitajika ni wenye pesaUdanganyifu upo wapi?
Ndio hivyo Mkuu.Ningeandika ulanzi(ulaasi)ungejua muhehe?
Ningeandika kayoga ungejua nimetoka kijijini Kumshindwi Kigoma?
Ningeandika wanzuki ungedhani nimetoka Kipalapala au Ndevelwa Tabora au Rukwa?
Ningeandika mtukuru na kindi ungedhani nimetoka Singida au Dodoma?
Au ningeandika boha ungedhani nimetoka Pwani au Tanga?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Mhhhh!!!!, Wanawake wengi sana wataenda kwa Waganga wa kienyeji na wengine watajinyonga.Ubaya unakuja pale ambapo mwanaume mmoja mwenye hela anatongoza wanawake 6!
Tunapigwa hapo, ili tafiti iwe na nguvu wanaume tusitongoze kabisa tuweke misimamo.
Hii Ni hatari na Nusu [emoji848]Wacha waendelee kuchagua chagua wanaume miaka kumi ijayo kila mwanamke atakuw na watoto zaidi ya 4 baba tofauti na bado yupo kwa wazazi
[emoji1787]sizitaki mbichi hiziShida inakuja hapa, wanawake wengi wa sasa hawataki kuolewa