Wanawake muwe makini wanaume ni wachache sana

Leo kanisani pana mwamba kauliza what if hiyo akili ya kuishi na huyo mwanamke umegundua hauna je umkate asikukoseshe mbingu au uvumilie mpaka abadilike
Nenda naye mpaka mwisho, no way out, its your luggage
 
Kuna mmoja amenipoteza kizembe sn mwanaume mwenye upendo,kujali na mapenzi yoteeee. Atajuta maisha yake yote
 
Wanawake kuelewa hii kitu ni ngumu, akiangalia anamiliki wanaume zaidi ya mmoja bado kila kukicha anatongozwa, anaona haya ni maigizo ya wazi, akija kuujua uhalisia ndo tayari kaliwa weee mpaka amechoka na umri ushamtupa mkono, hence,,,,,,,,,,.
Single Mothers' Convention Inahitajika🤣🤣🤣🤣
 
Kuna mmoja amenipoteza kizembe sn mwanaume mwenye upendo,kujali na mapenzi yoteeee. Atajuta maisha yake yote
Hapo muombee aishi karibu na wewe aje kuona na kujilaumu kwa nini alikuacha.
 
Izo takwimu sio sahihi
Kwa nini si sahihi.
Pengine jaribu kuchukua hata idadi ndogo ya mtaa ulipo Kati ya wanaume na wanawake ni wapi kulipo na idadi kubwa.
 
Duh kumbe ndiyo maana kila nikigusa imoooo.[emoji23][emoji23]
 
Ndio maana wengine wanakuwa masister,wengine wanaume mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…