Wanawake na matumizi ya Bamia kuongeza 'Utelezi'

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Duuhh wakuu Kila kukicha Kungwi wa Wanawake ana lake jambo !!.

Unaambiwa siku hizi ,wakitaka kukutembelea.

Bamia zinatengenezwaa, Kisha inachujwa ivi , unapatikana ule utelezi wa Bamia.

Baaaasi bwanaa, huo utelezi bidada anaweza kuuweka kwenye kikopo ivi akaja nao kuonana Nawewe au ....

Akaamua kuutumbukiza kwenye mbususus huko ndio aje kwako.

Mzee baba unakuta Nyapu Ina uteleziiiiiii Si wa Nchi hiii !!.


Duuhhh Enyi mabinti , Bamia ,pika ule, kula bamiaa inasaidia mambo mengi mwilin .
 
Mwanaume wa kweli anawajua hao kama majambazi waliotukuka.😂
 
Walianza na vitunguu, soon tutakua na jiko huko chini, vile unapeleka moto hio friction ikazaa joto basi mnaweza toa mboga sasa.
 
Nakadori To yeye kuna tuhuma za kujibu huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…