Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio kwenye usafiri wa umma

Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio kwenye usafiri wa umma

Zamani ilikua wanaume ndo tunajisogeza na kusimama nyuma ya wanawake ili tu kugusa makalio yao na sehemu zetu za siri na kuna wanaume ambao walikua wanamaliza kabisa haja zao palepale wakati amesimama nyuma ya mwanamke.

Siku hizi mambo yamekua vice versa ambapo mfano kwenye mabasi ya Mwendokasi mwanamke anaweza ingia ndani na kuna sehemu kubwa tu ya kusimama bila kubanana lakini utashangaa anasimama mbele yako huku akisugua sugua makalio yake kwenye sehemu za siri za mwanaume.

Iliwahi nitokea hii, kuna siku mdada mmoja alipandia kituo cha njiani cha mwendokasi ila alipoingia tu akaniwekea makalio yake kwa mbele huku akijisugulisha makalio yake kwa mzee Abdallah kichwa wazi.

Nilikua nahitajidi sana kumkwepa na ilifika point nikamwambia dada samahani simama vizuri mana unanilalia ndo akasimama straight baada ya kujishtukia na kugundua kwamba mimi sio mzee wa zile pigo.

Nyumbani nina mke napata chululuu kila ninapohitaji isipokua tu zile siku ambazo mke wangu anaingia mwezini sasa ukijaribu kunishawishi kwa staili ile ni ngumu sana kushawishika, kuna wakati mwanamke anaweza hisi labda jogoo hapandi mtungi kumbe nyumbani una mke na sio mgeni wa papuchi.

Je wewe mdau ushawahi kutana na changamoto kama hii kwenye usafiri wa umma ?
wewe kwa "umalaya" wako unakuwa ume-direct your mind towards that filthy thinking!
 
Hivi mnamalizaje mkiwa kwenye usafiri wa umma chuma imesimama ndi ndi unaanzaje kuendelea kugusisha, mimi hiyo naona ni ngumu sana huwa nakwepesha mshare usilenge kwenye ikweta zao, maaana nikujitesa tu na kufedheheshana tu unakuta hata hawajava nguo za ndani anajuegesha kwako ili tu ufili lile joto
 
Siku hizi kuna wauzaji humo humo kktl mwendokasi mi mwenyewe akijilengesha nakausha ila huwa najikontrol sana nisisimamishe na kweli nafaulu, kuna dada alikuwa na trko laini akaniwekea paa safari ilibidi niirefushe kituo changu nikapitiliza adi aliposhuka nikamshika mkono wala sikuongea mara mbili ni mambo nikampa simu atype namba, mi nikageuza ye kasepa na safari zake
Kilichofuata ni story guess what yule binti anapenda kuchezewa tigo ila haendi bado yupo sild
 
Hivi mnamalizaje mkiwa kwenye usafiri wa umma chuma imesimama ndi ndi unaanzaje kuendelea kugusisha, mimi hiyo naona ni ngumu sana huwa nakwepesha mshare usilenge kwenye ikweta zao, maaana nikujitesa tu na kufedheheshana tu unakuta hata hawajava nguo za ndani anajuegesha kwako ili tu ufili lile joto
Joga tu
 
. Na hapo ni baada ya kininyima namba kijanja kuwa atanipa next time tukikutana, akaona bora anitese saikolojikale.
Ahahahahahah umenikumbusha kipindi flan hiv nimekutana na shombe shombe la kibongo na kiarabu kwenye mwendokasi, yule manz kafanana na uwoya kishenzi, nikampa dakika kadhaa then nikamuomba namba, nikaona kama ana sita sita japo hana shida yuko charming tu ananijibu "no haiwezekani" lakin nilipomsoma zaidi ikawa kama ananipa sign flan hiv, kumbe kuna mwamba kashanipiga gap kasha occupy nafasi, mwamba akawa ananipiga jicho kishenzi na hawez kusema kitu maana nafanya alichofanya.

Nilicheka sana . Nikasema ukisikia watu wanapigwa baada ya kutongoza wanawake mbele ya waume zao ndio hii sasa 😂
 
Zamani ilikua wanaume ndo tunajisogeza na kusimama nyuma ya wanawake ili tu kugusa makalio yao na sehemu zetu za siri na kuna wanaume ambao walikua wanamaliza kabisa haja zao palepale wakati amesimama nyuma ya mwanamke.

Siku hizi mambo yamekua vice versa ambapo mfano kwenye mabasi ya Mwendokasi mwanamke anaweza ingia ndani na kuna sehemu kubwa tu ya kusimama bila kubanana lakini utashangaa anasimama mbele yako huku akisugua sugua makalio yake kwenye sehemu za siri za mwanaume.

Iliwahi nitokea hii, kuna siku mdada mmoja alipandia kituo cha njiani cha mwendokasi ila alipoingia tu akaniwekea makalio yake kwa mbele huku akijisugulisha makalio yake kwa mzee Abdallah kichwa wazi.

Nilikua nahitajidi sana kumkwepa na ilifika point nikamwambia dada samahani simama vizuri mana unanilalia ndo akasimama straight baada ya kujishtukia na kugundua kwamba mimi sio mzee wa zile pigo.

Nyumbani nina mke napata chululuu kila ninapohitaji isipokua tu zile siku ambazo mke wangu anaingia mwezini sasa ukijaribu kunishawishi kwa staili ile ni ngumu sana kushawishika, kuna wakati mwanamke anaweza hisi labda jogoo hapandi mtungi kumbe nyumbani una mke na sio mgeni wa papuchi.

Je wewe mdau ushawahi kutana na changamoto kama hii kwenye usafiri wa umma ?
Mimi ningepitiliza kituo
 
Nilidhani inanitokea mimi tu. Napanda daladala mara chache sana, ila ikitokea nimepanda na kwa kwakua ni mrefu sana mpaka nipinde shingo mule ndani, ni lazima kabinti fulani katajisogeza mpaka kifuani na kujichezesha na brakes za dereva kwa kujisugua mbele ya jinzi. Ukichangia wanavaa vinguo laini unakuta unapata tabu kuficha suruali iliyo vimba kwa kuweka mkono mfukoni. Yaani kama una shida sana ni kitendo cha kusmile tu tayari unakula mzigo.

Anyway, zero fuks given, since I kinda enjoy it!

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
She
Ni changamoto mno. Upo zako kwenye usafiri umesimama unawaza maisha. Ghafla unasogezewa bonge la msambwanda, ukijisogeza na yeye ana sogeza, ukienda nyuma na yeye anaenda nyuma, ukienda pembeni na yeye hukohuko pembeni.

Mambo gani haya tunafanyiana? Huu ni unyanyasaji wa kijinsia! Serikali iingilie kati!
Tunatiana kwenye majaribu na vishawishi!
Kutiana upwiru bila sababu za msingi!
Shetwani ashindwe
 
Back
Top Bottom