Wanawake na wanaume wenye tania hizi mje hapa.

Wanawake na wanaume wenye tania hizi mje hapa.

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Wanaume wenzangu mnafeli wapi jamani.Tabia ya kutotowa mahitaji ya familia kwa wakati si kwamba huna ila uzembe tu eti kwakuwa unaishi na mkeo yupo ndani,fikiria unawatoto halo Lakini hujali unaenda kupeleka mahitaji kwa mchepuko tena kwa haraka.mkeo anaumwa hadi anazidiwa ndiyo unampeleka hospitali Lakini mchepuko akisema tu anajisikia vibaya ushamtumia hela akapime yani mchepuko hata mavazi amewaka.Labda wadada mchepuko mnatumia mbinu gani hadi mnapata mahitaji kwa wakati?wanaume anza vema nyumbani hata show piga hasa kwa mkeo siyo unajifanya mwamba nje unataka nani aje amridhishe mkeo?Au unataka mbadilishano wakati we unaenda kulala kwa mchepuko na lijamaa lije kukaza kwako hatimaye mwisho wa siku mchepuko kakuacha na nyumbani umexpai.Mwisho ninyi michepuko muwe na huruma.
 
Wanaume wenzangu mnafeli wapi jamani.Tabia ya kutotowa mahitaji ya familia kwa wakati si kwamba huna ila uzembe tu eti kwakuwa unaishi na mkeo yupo ndani,fikiria unawatoto halo Lakini hujali unaenda kupeleka mahitaji kwa mchepuko tena kwa haraka.mkeo anaumwa hadi anazidiwa ndiyo unampeleka hospitali Lakini mchepuko akisema tu anajisikia vibaya ushamtumia hela akapime yani mchepuko hata mavazi amewaka.Labda wadada mchepuko mnatumia mbinu gani hadi mnapata mahitaji kwa wakati?wanaume anza vema nyumbani hata show piga hasa kwa mkeo siyo unajifanya mwamba nje unataka nani aje amridhishe mkeo?Au unataka mbadilishano wakati we unaenda kulala kwa mchepuko na lijamaa lije kukaza kwako hatimaye mwisho wa siku mchepuko kakuacha na nyumbani umexpai.Mwisho ninyi michepuko muwe na huruma.
mkuu kwanza wewe umesha oa??
 
Nina mashaka na uanaume wako. Mwanaume yeyote timamu huwa anataka vitu vitatu tuu.
1. Heshima
2. Utulivu wa akili
3. Burudani ya mwili
BAAASI. Akivikosa nyumbani atavitafuta kungine.
 
Wanaume wenzangu mnafeli wapi jamani.Tabia ya kutotowa mahitaji ya familia kwa wakati si kwamba huna ila uzembe tu eti kwakuwa unaishi na mkeo yupo ndani,fikiria unawatoto halo Lakini hujali unaenda kupeleka mahitaji kwa mchepuko tena kwa haraka.mkeo anaumwa hadi anazidiwa ndiyo unampeleka hospitali Lakini mchepuko akisema tu anajisikia vibaya ushamtumia hela akapime yani mchepuko hata mavazi amewaka.Labda wadada mchepuko mnatumia mbinu gani hadi mnapata mahitaji kwa wakati?wanaume anza vema nyumbani hata show piga hasa kwa mkeo siyo unajifanya mwamba nje unataka nani aje amridhishe mkeo?Au unataka mbadilishano wakati we unaenda kulala kwa mchepuko na lijamaa lije kukaza kwako hatimaye mwisho wa siku mchepuko kakuacha na nyumbani umexpai.Mwisho ninyi michepuko muwe na huruma.
KATAA NDOA wanakuja sasaivi
 
1717758118245.jpg
 
Nina mashaka na uanaume wako. Mwanaume yeyote timamu huwa anataka vitu vitatu tuu.
1. Heshima
2. Utulivu wa akili
3. Burudani ya mwili
BAAASI. Akivikosa nyumbani atavitafuta kungine.
Hii
maisha yenyewe mafupi
niacheni nile ujana
KATAA NDOA wanakuja sasaivi
Hii laana
Waooohhh jamani shemegi, ahsante kwa kutusemea.....uko wapi shem lake unywe hata fanta passion.
Nipo hapa jirani yako shem langu.
 
Nina mashaka na uanaume wako. Mwanaume yeyote timamu huwa anataka vitu vitatu tuu.
1. Heshima
2. Utulivu wa akili
3. Burudani ya mwili
BAAASI. Akivikosa nyumbani atavitafuta kungine.
Kwahiyo heshima na burudani anataka mwanaume tu?
 
Back
Top Bottom