Wanawake nchi nzima wakiamka kutetea concept ya "MAMA" ambayo Lissu anaitukana kila siku, Lissu atahimili vishindo?

Wanawake nchi nzima wakiamka kutetea concept ya "MAMA" ambayo Lissu anaitukana kila siku, Lissu atahimili vishindo?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Neno "MAMA" dunia nzima linavuma. Lissu anatembea nchi nzima akitukana "mama" kqtikati ya nchi yenye nyimbo za kumsifu mama. Katikati ya nchi ya watu wanasema waiolelewa na single mother baada ya kutelekezwa na baba zao.

Nani hajui mama na umuhimu wake? Kwa nini mama atukanwe na mtu anayetaka kuwa Rais? Akina mama mko wapi? Nani hana takwimu za ndoa kuvunjika na mama anqbaki kulea watoto ?.

Bajeti ya wizara ya afya itakuwaje mbele ya mtu anayetaka Urais, halafu anamtukana mwanamke kwa sababu tu Mungu alimbariki mtoto? Wanawake, mkizaa huwa mnatukanwa au mnaletewa sifa na zawadi? Lissu anataka kura za watanzania lakini anawatukana waliowazaa hao watu anaowaomba kura?

Lissu anamtukana mama aliyezaa watoto wa taifa hili, hatumsikii akimsengenya baba wa hao watoto wa huyo mama, kutwa kucha kumsengenya huyo mama. Kosa lake kuzaa watanzania? Ndio tuamini kwqmba mke wa Lissu alimkimbia kwa unyanyasaji? Kama mkewe tu kamkimbia, nyie ndio mnamwamini?
 
..kila mtu ana Mama yake.

..kwanini Samia analazimisha tumuite Mama kana kwamba hatuna Mama zetu waliotuzaa?
Basi wanawake wasimpe kura, apewe na wanaume ambao hawasengenyi kwenye mikutano yake ya hadhara
 
Huyo MAMA ABDULI kwanini asilee watoto wake kama anapenda sana UMAMA!!

Mimi na mandevu yangu haya nianze kuita MAMA MAMA MAMAA shiiit Goddamiit!!!

MAMA yangu ni mmoja tu aliyenizaa na BIKIRA MARIA.

Huyo samia akwende zake huko! Eboo!

Mambo gani haya ya MAMA MAMA MAMAA kila saaa!!
 
Neno "MAMA" dunia nzima linavuma. Lissu anatembea nchi nzima akitukana "mama" kqtikati ya nchi yenye nyimbo za kumsifu mama. Katikati ya nchi ya watu wanasema waiolelewa na single mother baada ya kutelekezwa na baba zao.

Nani hajui mama na umuhimu wake? Kwa nini mama atukanwe na mtu anayetaka kuwa Rais? Akina mama mko wapi?

Lissu anamtukana mama aliyezaa watoto wa taifa hili, hatumsikii akimsengenya baba wa hao watoto wa huyo mama, kutwa kucha kumsengenya huyo mama. Kosa lake kuzaa watanzania? Ndio tuamini kwqmba mke wa Lissu alimkimbia kwa unyanyasaji?
Wataamka lini sasa? Kama wanawake wenyewe ndio hawa umoja hawana
 
Lissu anataka kura za mama yake, ndio maana hamtukani
 
Back
Top Bottom