bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
kenge mwenyewe usiejitambuaHiyo ndo international language ya wale kenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kenge mwenyewe usiejitambuaHiyo ndo international language ya wale kenge
Sawa kenge mwenzangukenge mwenyewe usiejitambua
katika pita pita zangu leo humu MMU leo, nimeona vitu vya kushangaza sana..... kuna wanawake wanasema wanavutiwa na wanaume wenye mishipa mikononi[emoji23], wengine nimeona wanapenda kufokewa[emoji23] na hata mmoja nimeona anasema anataka mwanaume asiye na ndevu kabisa[emoji23].....
sasa kina dada naomba mcomment vitu vyoote mnavovitaka kutoka kwa wanaume; wanaume tuchukue notes, inaonekana kabisa pesa na nguvu za kiume havitoshi[emoji23]
Hata mimi nimeoa mwanamke ambae hakuwah kuwa na mwanaume mwenye ndevu na alikuwa hazipend kabisa,lakin alipokutana na mimi hatimae kazizoea na kazipenda mara nying huwa ananikumbusha nizichane maana kuna wakat nakuwa busy mpaka nakosa muda wa kunyoaMimi nilikuwa sipendi kabisa mwanamume mwenye ndevu ... Ila kwa sababu nyinginezo.... Nipo na Mwenye ndevu za kutoooosha😂😋
Nimezoea Sasa.... Ila huwa namkumbusha kwenda barber shop mara kwa Mara😩😂
Haramu yako halali kwa mwenzakokatika pita pita zangu leo humu MMU leo, nimeona vitu vya kushangaza sana..... kuna wanawake wanasema wanavutiwa na wanaume wenye mishipa mikononi😂, wengine nimeona wanapenda kufokewa😂 na hata mmoja nimeona anasema anataka mwanaume asiye na ndevu kabisa😂.....
sasa kina dada naomba mcomment vitu vyoote mnavovitaka kutoka kwa wanaume; wanaume tuchukue notes, inaonekana kabisa pesa na nguvu za kiume havitoshi😂
Mkuu naomba link ya huo uziKuna yule mwamba uzi wa majuzi pesa anazo na ana good looking lakini mke wake anagawa mbususu kwa baba mkwe
Pesa kiasi gani zinahitajika labda mrembo?
Poapoa ngoja niutafute 😊Mkuu naomba link ya huo uzi
.... na wenye hela?Mimi nilikuwa sipendi kabisa mwanamume mwenye ndevu ... Ila kwa sababu nyinginezo.... Nipo na Mwenye ndevu za kutoooosha😂😋
Nimezoea Sasa.... Ila huwa namkumbusha kwenda barber shop mara kwa Mara😩😂
Shukran sana sana mkuu