Wanawake ni viumbe wasioridhika, hakikisha asijue kipato chako

Nimekuelewa
 
Real
 
HUYO kashibq uyo sasa kasahau shida na matako kashapatq itamwqmbiq nn ilihali kuna vidume vishaanza kumpigia miluz

Mwanamke akishapata matako lazima abadilike kuna demu alikujq hme mbau mbau tu katoka sigimbi heshima km zote km zpte vile kila ana msifia nikawaambia subir apate matako muone na kwel msosi chipsi yai mqji yapo ndan hachot mchele kilq kotu kwenue friki mayai yapo ndan akapata mapatako tulijiuta

MATAKO HUBADIL TABIA YA MWANAMKE UO NDIO UKWEL
 
Duh
 
Wee unatakiwa mwanamke umgegede sio umlipe salary kaka. Kwa ujinga waliotufanyia eden bado tuu mnawaonea huruma hawa viumbe...acha ujinga. Kamata gegeda tupa kule
 
Hapo ni kama unafanya biashara na mke wako,
Au umemuajiri mkeo.

Tatizo linaanzia hapo mkuu.

Hiyo hela unayomlipa 12k- 17k ni malipo ya kazi au biashara mnayofanya.

Kwahiyo anachodai hapo ni "hela ya kuwa wapenzi".
Sijajua hiyo hela inaitwaje.
Labda kishika uchumba
 
Siku hizi mapenzi ni biashara kama zilivyo biashara nyingine. Anataka umlipe hela ya upenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…