Kwakweli watuache tupumue jamani[emoji1787]Kawaida ya dera jipya haya yetu ya bei rahisi yanakuwa na fabric ngumu kama karatasi, likifuliwa fuliwa likaanza kupauka linalegea na kuwa laini basi ukilitupia bila kyupi ni burudani sana. [emoji3]
Wanaume msitufananishe na wanawake wa kizungu wanaovaa leggings top na hills ndani. Sisi tuna namna yetu ya kupendeza ndani, kikubwa mtu awe msafi na achane nywele zikae vizuri kama hazijasukwa.
Hizi imaginations ndio zinawafanya mtukimbie jamani[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Huwa nakuvutia picha kuwa una zigo matata hala ni black beauty flan haha
Sio hamna kitu,ni Zero kabisa...Wanawake baadhi yenu badilikeni, yaani unawakuta wanajiremba kujipodoa kwa ajili ya Kwenda kazini lakini kwa mumewe hamna kitu.
Mabaharia sio watu wa sport - sport, hivyo nawe uliamua kuwa baharia ee!Mabaharia wanakwambia kwanini uendelee na kampeni wakati umeshapata jimbo? 😀😀😀😀
Anyways ni somo zuri sana hili, mimi niliumwa kipindi fulani nilivyopona nikajiachia sababu nilikuwa likizo, ilibidi nikumbushwe kwa utani kuwa umejichoka sana, (nakumbuka nilikuwa na wiki kadhaa hata kwapa sijashave, naona hata aibu kuhadithia) Baada ya ujumbe kunifikia Nilipata purpose ya maisha again nikarudi kwenye game.
Mapenzi raha sana kama una mtu anakupenda na mnaelewana.
Hakika mkuu umenena. Pengine ndoa nyingi zitapata ahueni. Pengine migogoro mingine hutokea bila kujua kuwa inahusianisha na muonekano tu wa mke/mume akiwepo homeHuu uzi ni muhimu sana kwa wanawake wote ndani ya ndoa ambao wakiwa majumbani mwao wanajisahau sana kwa kisingizio cha kupika, kusafisha nyumba etc. Ni ukweli usiofichika huwezi kujiremba wakati unafanya kazi hizo lakini ukimaliza kaoge ujirembe weka nywele zako vizuri kama zile za kuendea kazini 😜😜😜 piga gauni lako zuri hata kama siyo lile la kuendea kazini 😜 ili hata mwenzio ajisifu hapa nilioa banaaa mke wangu mzuri kweli siyo uko nyuku nyuku utadhani ni house girl na kama una house girl yeye anaonekana kajiweka vizuri kuliko mama mwenye nyumba 😜😜😜😂😂😂😂
Chief umekaa kabisa unajisifia kwamba uko nyumbani mkeo ndiyo anarudi mishe kapendeza ? Yaani mambo yanaenda kimsegemnege kweli,yale ya ajabu na udhalili ndiyo yanaonekana ya fahari .Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama
Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.
Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.
Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.
Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu.
Hahahhah auntie usikatae bwana hizo sifa unazopewaHizi imaginations ndio zinawafanya mtukimbie jamani[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ww kwa kupenda kujipoza machungu uko vizuri Yan kila mada inayoonyesha udhaifu wenu bhac Ukija kuchangia utaleta ujuaji
Hii iwe two way traffic.Huu uzi ni muhimu sana kwa wanawake wote ndani ya ndoa ambao wakiwa majumbani mwao wanajisahau sana kwa kisingizio cha kupika, kusafisha nyumba etc. Ni ukweli usiofichika huwezi kujiremba wakati unafanya kazi hizo lakini ukimaliza kaoge ujirembe weka nywele zako vizuri kama zile za kuendea kazini [emoji12][emoji12][emoji12] piga gauni lako zuri hata kama siyo lile la kuendea kazini [emoji12] ili hata mwenzio ajisifu hapa nilioa banaaa mke wangu mzuri kweli siyo uko nyuku nyuku utadhani ni house girl na kama una house girl yeye anaonekana kajiweka vizuri kuliko mama mwenye nyumba [emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Corporate wifeySasa tuvae vizuri halafu niko busy na masufuria, huku mabuibui, nipangue hiki kiende kuleee jamani jamani[emoji2297][emoji2297]
Tutajikwatua mkitutoa out[emoji12]
Raha yetu men tukiwa home tuwaone wake zetu wapite-pite mbele zetu, mara hujamuona kwa dakika 5 hivi unaamua kumuita ili akuletee maji ya kunywa, zikipita dakika kadhaa hujamuona tena unamuita uili akuletee juice, mara umuite umuulize chaja ya simu iko wapi japo unajua fika ilipo, mara umuulize taulo liko wapi . Yaani bora umuone-one tyuu. Tena kama ana mzigo ndio utamfaidi kweli wakat huo yupo ndani ya vazi amazing la khanga, unaangusha kitabu au simu makusudi na unamuita aje akuokotee, (apo moyo mwemwere-mwemwere). Daah! Dunia tamu sana, isiishe mapema kabisa.Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama
Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.
Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.
Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.
Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji1483]Kauzu babaako na mamaako
Ha haaaaa haaa. You killed it.Kama najiona nikitoka mishe huko dera liko wapi hata sidiria sivai ziwa linacheza segere tu kifuani, halafu Kuna Yale Madera ya kushindia yamepauka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah, Yale yaliyoiva mapya mapya eti yakutokea.
SahihiKuna wanawake ni warembo sana wakiwa hawana make up, yani toto limesuka twende kilioni lakini roho yako inasuuzika.
Tena unajikuta unamfananisha na malaika, ingawaje hujawahi kumuona malaika.Kuna wanawake ni warembo sana wakiwa hawana make up, yani toto limesuka twende kilioni lakini roho yako inasuuzika.
Raha yetu men tukiwa home tuwaone wake zetu wapite-pite mbele zetu, mara hujamuona kwa dakika 5 hivi unaamua kumuita ili akuletee maji ya kunywa, zikipita dakika kadhaa hujamuona tena unamuita uili akuletee juice, mara umuite umuulize chaja ya simu iko wapi japo unajua fika ilipo, mara umuulize taulo liko wapi . Yaani bora umuone-one tyuu. Tena kama ana mzigo ndio utamfaidi kweli wakat huo yupo ndani ya vazi amazing la khanga, unaangusha kitabu au simu makusudi na unamuita aje akuokotee, (apo moyo mwemwere-mwemwere). Daah! Dunia tamu sana, isiishe mapema kabisa.
Sasa km hajapendeza, mzigo hana, amevaa hovyo na havutii kwa chochote, hapo ndipo simu za kuwastua wana twende viwanja zinapoanziaga.
Upo sahihi mm mke wangu akiweka matakataka yake kichwani wala sihangaiki hata kumgusa....Chief nauomba basi huo moyo tukapige fweza chap!
Seriously mwanamke akiwa yuko natural huwa napenda sana.
Huwa nikikutana na mwanamke mwenzangu yuko na short hair/ziwe ndefu za asilia,awe na rangi nyeusi flani hivi,asiweke makorokoro mengi uso,amemevaa vizuri halafu ananukia..Jesus huwa nasimamaga tumtazama aiseh sikubaligi apite sijamwangalia.haiwezekani
Hili jambo sahali sana hasa kwa wale wake zetu ambao shani yao na hupenda kukaa nyumbani(yaani si wa mishe mishe za kutoka) yaani wenye kujitambua,huwa wanajua mida yetu ya kurudi nyumbani sababu huwa tuna toa taarifa (hakuna mambo ya suprise),unakuta mke amejipamba akapambika kila siku unamuona mpya,tena akiwa nyumba lazima apunguze stara,basi uzuri ulioje. Tulio oa pwani hizi hali tunaishi nazo.Ha haaaaa haaa. You killed it.
Tatizo hawa wenzetu hawajui mapirika ya nyumbani yalivyo magumu. Hio kupandilia ratiba mpk mambo yote yakawa sawa ndani ya nyumba Sio kazi rahisi.
Halafu bado upate na muda wa kujiremba