Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Maybeuvundo hauna uhusiano na uchakavu
huo ni uzembe tu wa mtu mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maybeuvundo hauna uhusiano na uchakavu
huo ni uzembe tu wa mtu mwenyewe
Kwahiyo sie ambao madera yanakuwa kama kanzu unatushauri nini?[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Hivi anaechukia dera labda mkewe awe hana chura [emoji23][emoji23][emoji23] ila kwa wale wenye mizigo napendekeza dela lipigwe bila solex
Mjitahidi kula mishkaki ya nundu 😅😅😅 mungu atawabarikiKwahiyo sie ambao madera yanakuwa kama kanzu unatushauri nini?[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
😅😅😅😅😅Labda wanaume wa Dar na pwani yote.
Huyo ndio mwanamke halisi, sio unakuta kitu imejipodoa imekua kama kinyago cha mpapule.Dame wangu hapaki make up na alishazikataa. Hapaki kucha rangi. She is humble, she cares.
Siyo ombaomba unlike other girls niliodate nao. Anajua maisha nini. Japo hela huwa nampa.
Above all ni mrembo.
She has my repect.
Mapema mwakani namvuta ndani.
We faller sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi anaechukia dera labda mkewe awe hana chura [emoji23][emoji23][emoji23] ila kwa wale wenye mizigo napendekeza dela lipigwe bila solex
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjitahidi kula mishkaki ya nundu [emoji28][emoji28][emoji28] mungu atawabariki
😂😂😂😂😂😂😂Kwahiyo sie ambao madera yanakuwa kama kanzu unatushauri nini?[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
😂😂😂Mjitahidi kula mishkaki ya nundu 😅😅😅 mungu atawabariki
Naunga mkono hojaHaya mazoea yameenda hadi kwenye chakula kila siku chakula kinapikwa kawaida kawaida tu lakini siku mkipata wageni chakula kinapikwa kinakuwa kitamu sana kulizo ziku zote.
Mimi nashindwaga kuelewa
mzee hujanielewa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].namaanisha kwamba umemchana demu ukweli bila woga kiasi kwamba angekuwa mtu mwingine mngegombana.wengine hatuna ujasiri wa kumwambia mwanamke ukweli ambao utamuumizaKauzu babaako na mamaako
nilielewa hivyo pia...sema jamaa naona kapanikmzee hujanielewa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].namaanisha kwamba umemchana demu ukweli bila woga kiasi kwamba angekuwa mtu mwingine mngegombana.wengine hatuna ujasiri wa kumwambia mwanamke ukweli ambao utamuumiza
Inabidi nikuje DM tujue namna ya kukabidhiana moyo na kufanya uwekezaji ulio bora wenye manufaa pande zote mbili .....hahahaChief nauomba basi huo moyo tukapige fweza chap!
Seriously mwanamke akiwa yuko natural huwa napenda sana.
Huwa nikikutana na mwanamke mwenzangu yuko na short hair/ziwe ndefu za asilia,awe na rangi nyeusi flani hivi,asiweke makorokoro mengi uso,amemevaa vizuri halafu ananukia..Jesus huwa nasimamaga tumtazama aiseh sikubaligi apite sijamwangalia.haiwezekani
Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama
Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.
Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.
Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.
Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu
Kawaida ya dera jipya haya yetu ya bei rahisi yanakuwa na fabric ngumu kama karatasi, likifuliwa fuliwa likaanza kupauka linalegea na kuwa laini basi ukilitupia bila kyupi ni burudani sana. 😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa vitu vipate hewa jamani. Halafu hivyo videra vilivyopauka vinanoga kweli kushindia nyumbani.
Sasa hadi uje utulie ujipare saa ngapi jamani na majukumu kibaao yanakusubiri[emoji2297][emoji2297]
Yaliyoiva ya kuendea msibani 😂Kama najiona nikitoka mishe huko dera liko wapi hata sidiria sivai ziwa linacheza segere tu kifuani, halafu Kuna Yale Madera ya kushindia yamepauka 🤣🤣🤣🤣 dah, Yale yaliyoiva mapya mapya eti yakutokea.
Mabaharia wanakwambia kwanini uendelee na kampeni wakati umeshapata jimbo? 😀😀😀😀Samaki anavuliwa mara moja tuu, labda saiv nawe umekuwa samaki!
Huwa nakuvutia picha kuwa una zigo matata hala ni black beauty flan hahaKwahiyo sie ambao madera yanakuwa kama kanzu unatushauri nini?[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
hahaahaaa amepanic!! sio kesi ataelewa