Wanawake ni wazuri wakiwa kazini

Wanawake ni wazuri wakiwa kazini

Na we ukirudi home, unatupua likaputura lako utadhani mchimba kaburi, wakati ofisini unapiga suti .
Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama

Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.

Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.

Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.

Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu
 
Mimi mama watoto wangu alileta swaga hizo za kuchakaa tukiwa wote nyumbani huku kazi anafanya msaidizi, nikamchana makavu akajinunisha kidogo ila naona kwasasa mambo mazuri kabadilika.

Ni afadhali kuambiana ukweli kuliko kuishi na sononeko na kukufanya faza geto ubadili tabia. Hata mimi kama nazingua huwa ananichana tu
Sure kabisa. kufungukiana ndio mpango. La sivyo mnanuniana na mkiulizwa sababu hamna
 
Too generalized without any gist of research or reasons for generalization. Ukiona mmoja usidhani ni wote hata first ladies au wake wa wenye nazo. Umewaza na kutoa hitimisho kimaskini mwanangu.
Ujumbe umefika
 
Kk
Yani mwaka mwaka huu wanawake tusipopata ukichaa basi na Bwana wa Majeshi asimame nasi.ila elimu imetuingia.

sisi wenye shoti hair kama wasabato haituhusu.ni mwendo wa vikaptura T-shirt imeisha hiyoooo
Mimi ugonjwa wangu ndio huo ...mwanamke awe na nywele fupi zinazotunzwa vizuri . Na mapigo kama hayo yako ....mbona ntamuhonga hadi moyo kudadekiii
 
Kk

Mimi ugonjwa wangu ndio huo ...mwanamke awe na nywele fupi zinazotunzwa vizuri . Na mapigo kama hayo yako ....mbona ntamuhonga hadi moyo kudadekiii
Chief nauomba basi huo moyo tukapige fweza chap!

Seriously mwanamke akiwa yuko natural huwa napenda sana.
Huwa nikikutana na mwanamke mwenzangu yuko na short hair/ziwe ndefu za asilia,awe na rangi nyeusi flani hivi,asiweke makorokoro mengi uso,amemevaa vizuri halafu ananukia..Jesus huwa nasimamaga tumtazama aiseh sikubaligi apite sijamwangalia.haiwezekani
 
Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama

Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.

Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.

Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.

Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu
😂😂😂😂🙌
 
Yani mwaka mwaka huu wanawake tusipopata ukichaa basi na Bwana wa Majeshi asimame nasi.ila elimu imetuingia.

sisi wenye shoti hair kama wasabato haituhusu.ni mwendo wa vikaptura T-shirt imeisha hiyoooo
Aah bora we mwenzangu unavaa na vikaptura, mwenzio nina videra vyangu vimejipaukia hivyo ndio natupia basi hewa saaafi kabisa.
 
Back
Top Bottom