SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Kweli kabisaKuna wanawake ni warembo sana wakiwa hawana make up, yani toto limesuka twende kilioni lakini roho yako inasuuzika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaKuna wanawake ni warembo sana wakiwa hawana make up, yani toto limesuka twende kilioni lakini roho yako inasuuzika.
Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama
Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.
Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.
Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.
Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu
Kweli kabisa ladha zinatofautiana, sema kikubwa mwanamke awe msafi na anayevutia sio lazima aweke mbwembwe, hiyo ni kwangu mimi.Kuna wanaume raha yao mwanamke atumie makeups wanja, lipsticks kwa sana ndio unawakonga moyo
Sure kabisa. kufungukiana ndio mpango. La sivyo mnanuniana na mkiulizwa sababu hamnaMimi mama watoto wangu alileta swaga hizo za kuchakaa tukiwa wote nyumbani huku kazi anafanya msaidizi, nikamchana makavu akajinunisha kidogo ila naona kwasasa mambo mazuri kabadilika.
Ni afadhali kuambiana ukweli kuliko kuishi na sononeko na kukufanya faza geto ubadili tabia. Hata mimi kama nazingua huwa ananichana tu
Hivi mwanamke wa leo anakosa dada wa kazi? Labda huko uswazi ila sehem sehem hata kama ni maza haus lazima atadai msaidiziIla pamoja na mapungufu ya wanawake..
Wanaume hamjui ugumu wa shughuli za nyumbani.,
Hakikisha mna dada mmoja au wawili kumsaidia mama
Mimi ugonjwa wangu ndio huo ...mwanamke awe na nywele fupi zinazotunzwa vizuri . Na mapigo kama hayo yako ....mbona ntamuhonga hadi moyo kudadekiiiYani mwaka mwaka huu wanawake tusipopata ukichaa basi na Bwana wa Majeshi asimame nasi.ila elimu imetuingia.
sisi wenye shoti hair kama wasabato haituhusu.ni mwendo wa vikaptura T-shirt imeisha hiyoooo
Chief nauomba basi huo moyo tukapige fweza chap!Kk
Mimi ugonjwa wangu ndio huo ...mwanamke awe na nywele fupi zinazotunzwa vizuri . Na mapigo kama hayo yako ....mbona ntamuhonga hadi moyo kudadekiii
Kama kuna watoto?.Wadada wawili wa kazi za ndani , kwa maposhi haya ya jiko la gas?, kweli maisha yanaenda kasi sana.😃😃
😂😂😂😂🙌Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama
Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.
Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.
Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.
Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu
Aah bora we mwenzangu unavaa na vikaptura, mwenzio nina videra vyangu vimejipaukia hivyo ndio natupia basi hewa saaafi kabisa.Yani mwaka mwaka huu wanawake tusipopata ukichaa basi na Bwana wa Majeshi asimame nasi.ila elimu imetuingia.
sisi wenye shoti hair kama wasabato haituhusu.ni mwendo wa vikaptura T-shirt imeisha hiyoooo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimejifunza kitu ntajirekebisha [emoji120] kuna kadera kangu kamepaukaa ila nakpenda kweli 😉