Wanawake Pitieni hapa Naomba Maelezo yenu hii imekaaje?

Wanawake Pitieni hapa Naomba Maelezo yenu hii imekaaje?

Naomba utuletee mrejesho baada ya mwezi.
 
Kaa chonjo!!!
Mimi kama msemaji wa chama chetu nakupasha,
Hizo ni sera za kampeni tu
NA ukumbuke mda wote shetani kabla hajakupitia huwa unamuona malaika
Shtuka mkuuu hilo bomu 🤣
 
Kwa wanawake wa sasa hata akiongea hivyo bado usimuamini isije ikawa umewekewa mtego unafurahia kutomlipia kodi kumbe mbeleni atakuingiza kingi umnunulie kiwanja inakuwa ni yaleyale tu kama Abdallah kumuita Dullah au Steven kumuita steve.
Kuna wanawake wapo kimkakati wanajua sana kuteka mawazo ya wanaume halafu mbeleni ukishakolea anajua atapata tu anachokitaka
 
Mmetendwa vya kutosha mpaka mkikutana na “wapendwa” hamuamini kabisa..😀
Kaa kimkakati hakunaga wa hivi siku hizi labda iwe kijijini ndanindani sana Kigoma au usukumani ila sio maeneo ya mjini haiwezi kutokea kamwe hiyo ni ndoto ya mchana
 
Back
Top Bottom