KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Unapungukiwa utelezi ndo mana huwa mnatoana ndo maana tunawafanya michepuko ukiomba hela nisipokupa sipungukiwi na chochote ila wewe sasa utaanza kutanga tanga hadi kwa x zako kuomba 20K
Kwahiyo ulipokuwa mtoto baba yako anakupa pesa ulikuwa unajiuza? mkeo unapompa pesa anajiuza? mwanao akikuomba pesa anajiuza? wazazi wako wakikuomba pesa wanajiuza?sasa kama kitu kinahitaji pesa maana yake si kinauzwa au ww mwenzangu kitu kinacho hitaji pesa unakiitaje?
What you don't get to do is believe in equality whilst simultaneously single-handedly blaming menUkigeuka huku wanawake Kule wanawake hapa wanawake pale wanawake [emoji3061]
Tupumzisheni basi
Hayaa bwana ila hiyo simu ninayoo[emoji23][emoji23] ndugu unafeli sana nina simu 5 hiyo Samsung ndo simu ya kuchat chat ushubwada na ndo namba ya michepuko so simu isikuumize kichwa kabisa leo nimekujibu na iphone kesho ntakujibu na tecno
Kwahiyo ulipokuwa mtoto baba yako anakupa pesa ulikuwa unajiuza? mkeo unapompa pesa anajiuza? mwanao akikuomba pesa anajiuza? wazazi wako wakikuomba pesa wanajiuza?
Acha kuwa na akili fupi ndugu yangu
kama pesa yako unaona anafaa kula mkeo basi acha kuomba namba za wanawake wengine navilevile mkeo tutampa pesa tu tukionana naye maeneo
Ndo hapo sasa.Wenye pesa zao wapo kimya
Ndyooooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila siku we upo site[emoji50]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima uringe eti dunia hii lazima uringee[emoji23][emoji23] najua wewe wakishua mtu mzito sana
Eti eeh! neno lako si sheriana Tanzania kuna wanawake wauzaji na mtaji wao mkubwa Hiyo K tukitoa K wanakufa njaa wote
Sawa,yaishewaambie wanawake wote HATUTAKI KUONA WIZI HUU MPYA WA MTANDAONI NA SMS
Naomba hela ya kodi kipenzi uwiii wewe nataniaeeh bwana tunakufa mara moja tu ringa tu ila usiombe pesa
uko more than sawa ila sasa hata kutugaia pia haiko hapo kwa hovyo hovyo shemBaby shem tunazisaka sana hizo hela, hela zinaombwa na zinatafutwa kwa mpangilio sio ovyo ovyo
Au nasema uongo?
Every woman who doesn’t get a competent man fans the flames of feminism, because they would rather be miserable in a career that gives them a sense of purpose than submit to a man they do not respect.INATOSHA,
Mkatafute pesa sasa,
Tumewaelewa[emoji1545]
Tutalifanyia kazi.
Ukiona hakuombi muoe haraka usimuacheWakuu Habari zenu!
Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.
Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.
UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.
Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??
UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO