Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Tatz mm nahuruma Sana Kama vile Lulu diva ile aibu ingekupata ww ingekuwajUnaumia na nn sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatz mm nahuruma Sana Kama vile Lulu diva ile aibu ingekupata ww ingekuwajUnaumia na nn sasa
Mnaenjoy nyie Mna wapenz hatari 😂😂maana mmetuma screenshot nying mno yaani nyie ni level nyingine muombwe tu izo Hela 😂Hawa hawa wapenzi wetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kata kucha hizo kwanza kitaalam kucha ni uchafu
We unazo?Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
AiseeeJifunzenu kujitomba wenyewe ili kuepuka kuombwa hela
Watakuja kulia vibaya sana wambieKuna wanaojifanya wanatoa hela wakati moyoni wanaumia
teh teh teh tehMnaenjoy nyie Mna wapenz hatari 😂😂maana mmetuma screenshot nying mno yaani nyie ni level nyingine muombwe tu izo Hela 😂
naam bara bara kabisaaMwanaume ukishajua hili basi maisha na hii jinsia yatakua mepesi sana
sijazungumzia kudanga ni afadhali kukopa au kujihusisha na ujasiriamali(kufanya kazi) kuliko kudangaHiyo namna nyingine ipi Joseverest ? Au unataka akadange?
Baby shem tunazisaka sana hizo hela, hela zinaombwa na zinatafutwa kwa mpangilio sio ovyo ovyondio mtafute hela sasa ili mtugaie
Hela nampa ila sio zote maana utajisahau kisa tu amekuomba hela na wewe ukashindwa kujihudumiando hapo sasa
Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
Ukiona wanaomba Sana ujue kwamba wanadaiwa vikoba.Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
mfano huyu yaani Elfu 5 tu inamshinda dah Wanawake aisee Keroo sana... kwa usawa huu unaomba Elfu[emoji23] dah njaa sanaView attachment 2297807