Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Ninyi wadada wa penda pesa huu ni ujumbe wenu kabisa

Nabii isaya 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.”


Sasa kadiri siku zinavyo kwenda maisha yanazidi kuwa magumu mpaka sasa hivi kuna wanaume wanaona kuoa ni shida tu
Na wanaume wengi kwasababu ya ugumu wa maisha wengi wana kuwa mashoga na wengine majambazi yaani ni shida alafu wewe una kuja kumpata mwanaume mtoto wawatu ana kulilia una mpiga chini eti kisa hana pesa
Ila mnashindwa kutambuwa kuwa aliye na akili akiwa na aliye na nguvu ni lazima wafanye kitu cha maana ukiona mwanaume wako hana pesa lakini ana pambana my dada don't leave huyo mwanaume
Shauri yenu endeleani
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
Weee mimi napenda na ela naomb kama kawaida
 
Waombe pesa ila wawe na tako nasisitiza hana tako na tumbo la mazoezi ukitoa pesa utakuwa umelogwa mkuu, wanawake wasio na tako akiomba pesa piga Kwa kukopa then tembea usilipe
 
Dah kweli kabisa nahisi maisha yamekuwa magumu sana kwa watoto wa kike na ni both wakishua na hawa wenzetu….kama juzi nimeamka asubuh nimekutana na wanawake 7 wote wanaomba pesa isiyozidi 10k[emoji23][emoji23] ukiona text imeanza na my tu kimbia fasta usijibu au utaskia my nikwambie kitu[emoji23][emoji23]
 
Dah kweli kabisa nahisi maisha yamekuwa magumu sana kwa watoto wa kike na ni both wakishua na hawa wenzetu….kama juzi nimeamka asubuh nimekutana na wanawake 7 wote wanaomba pesa isiyozidi 10k[emoji23][emoji23] ukiona text imeanza na my tu kimbia fasta usijibu au utaskia my nikwambie kitu[emoji23][emoji23]
Kitu cha nyokooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
Wiki iliyopita tu kuna mmoja nilimwona DP ya WhatsApp, nikamfuata messenger. Mazungumzo yalikuwa ifuatavyo:-
Mimi : Hi
Yeye : Hi
Mimi : Unakata wapi?
Yeye : Kimara.
Mimi : Mwemyeji wa wapi?
Yeye : S.....a
Mimi : Unaumbo zuri na vidole vizuri
Yeye : Mirushir buku mbili in kazi nayo Ili tuweze kuchati. zaidi
Mimi : Nikarudisha majeshi nyuma!
 
Wiki iliyopita tu kuna mmoja nilimwona DP ya WhatsApp, nikamfuata messenger. Mazungumzo yalikuwa ifuatavyo:-
Mimi : Hi
Yeye : Hi
Mimi : Unakata wapi?
Yeye : Kimara.
Mimi : Mwemyeji wa wapi?
Yeye : S.....a
Mimi : Unaumbo zuri na vidole vizuri
Yeye : Mirushir buku mbili in kazi nayo Ili tuweze kuchati. zaidi
Mimi : Nikarudisha majeshi nyuma!
Anakwambia kabisa yaani hapa nina njaa kabisa sijala leo na bando linakata niunge tuendelee kuchat
 
Dah kweli kabisa nahisi maisha yamekuwa magumu sana kwa watoto wa kike na ni both wakishua na hawa wenzetu….kama juzi nimeamka asubuh nimekutana na wanawake 7 wote wanaomba pesa isiyozidi 10k[emoji23][emoji23] ukiona text imeanza na my tu kimbia fasta usijibu au utaskia my nikwambie kitu[emoji23][emoji23]
My brother haujambo??

Nipo na shida ya sh.5000
 
Wiki iliyopita tu kuna mmoja nilimwona DP ya WhatsApp, nikamfuata messenger. Mazungumzo yalikuwa ifuatavyo:-
Mimi : Hi
Yeye : Hi
Mimi : Unakata wapi?
Yeye : Kimara.
Mimi : Mwemyeji wa wapi?
Yeye : S.....a
Mimi : Unaumbo zuri na vidole vizuri
Yeye : Mirushir buku mbili in kazi nayo Ili tuweze kuchati. zaidi
Mimi : Nikarudisha majeshi nyuma!
Usione vyaelea
 
Dah kweli kabisa nahisi maisha yamekuwa magumu sana kwa watoto wa kike na ni both wakishua na hawa wenzetu….kama juzi nimeamka asubuh nimekutana na wanawake 7 wote wanaomba pesa isiyozidi 10k[emoji23][emoji23] ukiona text imeanza na my tu kimbia fasta usijibu au utaskia my nikwambie kitu[emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Waombe pesa ila wawe na tako nasisitiza hana tako na tumbo la mazoezi ukitoa pesa utakuwa umelogwa mkuu, wanawake wasio na tako akiomba pesa piga Kwa kukopa then tembea usilipe

eeh Mkuu una maana Gani? fafanua
 
Kuna mdada anaomba ,Mimi nikimuomba anasema uzinzi dhambi,Jana nimemwambia kweli ukitaka kula Hela yangu kubali kuliwa, mjini Cha Bure salamu

[emoji1787][emoji1787] wenyewe wanaamini mwanaume anapesa muda wote
 
Back
Top Bottom