Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Haki vileWazitafute kweli kama wanataka kufaidi wanawake wanaowataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki vileWazitafute kweli kama wanataka kufaidi wanawake wanaowataka
Naam mambo vipi kaka kitambo sana kaka
Nakupa zawadi ya kuja kula sikukuu mtaa wa kijiweniMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake





Kazi Kwelikweli/Job Truetrue
Naam mambo vipi kaka kitambo sana kaka
Marehem mwalimu wenu ndio aliwaachia hizo notsi mkaririMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Marehemu aliona mbali enzi za uhai wake.Marehem mwalimu wenu ndio aliwaachia hizo notsi mkariri
Angejua syllabus zilisha change kitambo, anawapoteza.Marehemu aliona mbali enzi za uhai wake.
Kuna demu ananiomba laki 6 akalipe kodi, fala sana
Mmhh!!! Milion 5 hii hii au MILO mi 5?Kuna demu wa jf imemfikia hii wiki 2 tu kaniomba mil 5
Kutunza na kuhonga ni different, kuna tofauti kubwa kati ya mume na danga. Read between the lineMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Wee ushaona wapi methali za wahenga zinabadilika?,badilisheni Hizo syllabus ila nahau na methali zitabaki vilevileAngejua syllabus zilisha change kitambo, anawapoteza.
Haibiwi mtu hapa...ngashtukaa!!!Faida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta
Akili kumkichwa
Hamna tofauti maana wote wanatumia noti kuhakikisha wanapata gudgudKutunza na kuhonga ni different, kuna tofauti kubwa kati ya mume na danga. Read between the line
Methal nyingi zishakua outdated mbaya..Wee ushaona wapi methali za wahenga zinabadilika?,badilisheni Hizo syllabus ila nahau na methali zitabaki vilevile
Uchi umegongwa kishenzi mpaka umekata tamaaHivi ukimpa mwanamke hela wewe unafaidika na nini kutoka kwake ukitoa uchi wake usio bikira?