peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kuna mama mmoja Kila mara anakwenda ulaya kuomba misaada Kuna ujumbe wake huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mama mmoja Kila mara anakwenda ulaya kuomba misaada Kuna ujumbe wake huku
hi akili yenu JAKIJINGA ndio itawafanya muwe wajinga kila sikuMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Very good, Excellent [emoji7]!!za kupewa Zina vitamins na protein zinajenga mwili
Mmeanza! Lengo lenu nisipewe hela ya Abaya na wig la laki 3? Sikukuu inakuja wakuu acheni basi [emoji23]
Afu laki 3 ndio la kawaida kabisa 🤣Kuna mtu atakuja apige kelele kwanini wig la łąki 3 na kuna twende kilioni [emoji23][emoji23]
HahahahahaOmba omba pro-max
HahahahahaFaida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta
Akili kumkichwa
Hahahahaha🤣🤣🤣🤣 Hata kama kurumbembe,unadhani Sina Moyo we vipi?
Kwa kweli,Mungu awafanyie wepesi kwenye kutafuta riziki, awajazie teletele,,,tunawapenda sana😁Zinatoa harara na miwasho pia kwenye ngozi mwili unakua softiiiiii.
Tunawaombea waendelee kuzipata watugawie
Rafiki, nanyanyaswa Mimi😁😁😁Hahahahaha
Kwanza nipende kumshukuru Jemedali Rais Samia kwa kuniwezesha kusoma hii comment!Mmeanza! Lengo lenu nisipewe hela ya Abaya na wig la laki 3? Sikukuu inakuja wakuu acheni basi 😂
Hahahahaha..pole Rafiki,pole sanaRafiki, nanyanyaswa Mimi😁😁😁
Hahah nimecheka kwamba tunaishukuru CCM kwa yote.Kwanza nipende kumshukuru Jemedali Rais Samia kwa kuniwezesha kusoma hii comment!
Pili hilo wigi ni la aluminium😂😂😂😂😂
Aaaah we jamaa punguza ghadhabu tuzungumze taratibu... sisi ndio wasaidizi wenu lazima unapotafuta Hela ukishatoa fungu ka kumi la Muumba,Ile inayobaki una kata Tena asilimia 25 ya baby hapo tunaenda sawa😌Na
hi akili yenu JAKIJINGA ndio itawafanya muwe wajinga kila siku
Hamtakaa kuisha mtaani ma single mother kwakua AKILI HAKUNA
Mfano nina ajilia
Sina majukumu
Majukumu yangu ni wewe kwanini nisikupe
Kigezo cha kupewa hela ndio kikubwa kwenu
UJINGA TU
Ety tuzungumze taratibu....Aaaah we jamaa punguza ghadhabu tuzungumze taratibu... sisi ndio wasaidizi wenu lazima unapotafuta Hela ukishatoa fungu ka kumi la Muumba,Ile inayobaki una kata Tena asilimia 25 ya baby hapo tunaenda sawa😌
🤣🤣🤣Wananishambulia mno jamani,mpaka nakosa pumziHahahahaha..pole Rafiki,pole sana
Hahahahaha...wasikilize wana hoja🤣🤣🤣Wananishambulia mno jamani,mpaka nakosa pumzi
Eeeh anaongea haraka haraka sana halafu Kwa jazba,wakati tunayajenga😁😁Ety tuzungumze taratibu....
Unaona jamaa kama yupo chap et.
😂😂😂😂😂😂
Ngoja niwaelimisha wataelewa tu faida ya kutupa Hela wabebezHahahahaha...wasikilize wana hoja