Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ahahahah unajua kuna watu wanasemaga mimi nakusingizia ila sasa mwenyewe umeona mambo yako sasa ahahahah daaahDaaah mkuu hadi nabana makalio hapa sijui wataka kusema nini.....π€£π€£ Usijemwaga siri zangu, haupo bar?? π€£π€£
Mwanamke ana natural sensors za hatari. Huyo alishakujua huna lolote na pia alishajua thamani la Gari lako na la mwaka gani.Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu
Hapana mi mbaya halafu niko shapeless ila nimejaliwa kizazi, na kabila langu silijuiUnaonekana Mrembo kweli mpaka umemchanganya Jamaa we Msukuma?
#:$&-$-3:-_+ GARIMmjagjmatgmata GARI
Mmajganagtmamatg GARI
Eugantqmahjamta GARI
Hahaha eti nyauMwanamke ana natural sensors za hatari. Huyo alishakujua huna lolote na pia alishajua thamani la Gari lako na la mwaka gani.
Nyauww
You must be funny in person, ila watu wenye dark humour kama wewe huwaga mna watu wachache wanaoelewa aina yenu ya ucheshiππ mie ndio joti braza
Wewe ni jangili tu mbugani[emoji16]Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu
Asee heshima kwako mtu wangu wa nguvu. Mimi pia ni comrade.Mimi navuta Sana bangi ila wewe umezidi mkuu. Hebu punguza matumizi ya " hemp " bangi. ππ¬
Umenisingizia nini hicho πΉAhahahah unajua kuna watu wanasemaga mimi nakusingizia ila sasa mwenyewe umeona mambo yako sasa ahahahah daaah
Utakua mmasaiHapana mi mbaya halafu niko shapeless ila nimejaliwa kizazi, na kabila langu silijui
Kuna sehemu nimewahi kukuonaHahaha eti nyau
Haya bwana tushajua ulipanda hedge na kwenda Dubai kununua matairi na tv kubwa.Mi wadada kama hivi ndo ugonjwa wangu..
Kama kuna siku nimeingia tanzania kutokea dubai nilikuwa na matairi ya gari ndogo 4 na tv kubwa,
wakati nashuka kwenye ndege nilikutana na mdada aisee alikua very fast hadi nikashangaa.
Nilitokea kumkubali tuu huwa napenda sana wadada kama hawa hana mda wa kupoteza
Ahahahahah daaah sijamaanisha hivo mkuuHaya bwana tushajua ulipanda hedge na kwenda Dubai kununua matairi na tv kubwa.
Thed dwellers bana
Hahaha π π π π€πΏπ€πΏAhahahahah daaah sijamaanisha hivo mkuu
Huu huaro wa The Stress ChallengerrMmjagjmatgmata GARI
Mmajganagtmamatg GARI
Eugantqmahjamta GARI
Asee heshima kwako mtu wangu wa nguvu. Mimi pia ni comrade.
Legalise it maamaee
Itakuwa ni wale vimbaumbau
Mdada mwenye chura huwa hawawezi kukimbia, ni mwendo wa twiga
Ukiona binti/mdada anatembea haraka haraka ujue ana upwiruWanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu