Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Haya yote kataka huyo muanzisha uzi...Mkuu wewe ni Mhaya au Fundi manyumba
Wala sio mhaya mimi ni fundi manyumba pure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yote kataka huyo muanzisha uzi...Mkuu wewe ni Mhaya au Fundi manyumba
Maana nimecheka kwa sauti huku iyo chaii imenipalia aiseeHaya yote kataka huyo muanzisha uzi...
Wala sio mhaya mimi ni fundi manyumba pure
Ahahahahahhaha unacheka niliposhuka kwenye ndege kutokea dubai ahahah hii serious mkuuMaana nimecheka kwa sauti huku iyo chaii imenipalia aisee
Aaaaah Okay ngoja niendelee kusikiliza hizo madaAhahahahahhaha unacheka niliposhuka kwenye ndege kutokea dubai ahahah hii serious mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ni mimi
Nikitoka kanisani nakimbia kama nmeacha familia
Saa zote natembea haraka kama nawahi mahali
Niogope mtu mwenye mwili wa dodoma? Hayo ni matumizi mabaya ya woga.sema unaniogopa
Hiyo ibada na mimi nahitaji kufahamu niweze kuwa rastafari. 😃😃😃😃Bush weed hii ni kwa sisi marasi kwenye ibada inatufaa
Dharau,, nakublokNiogope mtu mwenye mwili wa dodoma? Hayo ni matumizi mabaya ya woga.
Mwanaume wako ana raha.😁😁 mie ndio joti braza
Wenye nia hawatoagi taarifa, wanafanya kublock kimya kimyaDharau,, nakublok
Wewe unatokea bukoba?NIMEONA COMENT YAKO IMENIFURAHISHA NIKAONA NIPIGE PICHA YANGU UKUTANI HPA KARIBU SANA KIGAMBONI MKUUU HUKU INAJULIKANA WAMEJENGA AKINA NANIView attachment 3033747
hahahaha sawa sawaWenye nia hawatoagi taarifa, wanafanya kublock kimya kimya
Bado tuhahahaha sawa sawa
subiri kidogoBado tu
Msabato kweli wewesubiri kidogo
kwendaMsabato kweli wewe