Wanawake Punguzeni kutembea haraka mnakosa Mabwana wa maana

Wanawake Punguzeni kutembea haraka mnakosa Mabwana wa maana

Mi wadada kama hivi ndo ugonjwa wangu..

Kama kuna siku nimeingia tanzania kutokea dubai nilikuwa na matairi ya gari ndogo 4 na tv kubwa,

wakati nashuka kwenye ndege nilikutana na mdada aisee alikua very fast hadi nikashangaa.

Nilitokea kumkubali tuu huwa napenda sana wadada kama hawa hana mda wa kupoteza
Mkuu wewe ni Mhaya au Fundi manyumba
 
Back
Top Bottom