Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Dada poa yupi humu?naona una quote maneno ya dadapoa hukooo,,m nmesema wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada poa yupi humu?naona una quote maneno ya dadapoa hukooo,,m nmesema wapi
I mean huko mitaaniDada poa yupi humu?
U mean eehI mean huko mitaani
KwendaU mean eeh
Twende woteKwenda
Kemeeni hii sio kawaidaItabidi tuyakemee yatoke yatakupishanisha na mwenza wako😅
ulvosema ivo umenkumbusha,, nilkwambia kukipumua ntakwambiaTwende wote
Fanya hivyo alafu fungua pm nkutukaneulvosema ivo umenkumbusha,, nilkwambia kukipumua ntakwambia
Jumapili tutaanza rasmiKemeeni hii sio kawaida
njoo nitukane kama hujipendiFanya hivyo alafu fungua pm nkutukane
Usinitishe sitishikinjoo nitukane kama hujipendi
Sawa sawa kijanaUsinitishe sitishiki
Oi Kapyoko Shikamoo[emoji3][emoji3][emoji3] ukiona wanatembea haraka ujuwe ameolewa huyo mkuu
NakujaSawa sawa kijana
aga vizur utokakoNakuja
Yani msabato una vitisho alafu n mbwembwe tuaga vizur utokako
sema unaniogopaYani msabato una vitisho alafu n mbwembwe tu
🤣🤣🤣🤣🥴Hao ni mimi
Nikitoka kanisani nakimbia kama nmeacha familia
Saa zote natembea haraka kama nawahi mahali
Mkuu wewe ni Mhaya au Fundi manyumbaMi wadada kama hivi ndo ugonjwa wangu..
Kama kuna siku nimeingia tanzania kutokea dubai nilikuwa na matairi ya gari ndogo 4 na tv kubwa,
wakati nashuka kwenye ndege nilikutana na mdada aisee alikua very fast hadi nikashangaa.
Nilitokea kumkubali tuu huwa napenda sana wadada kama hawa hana mda wa kupoteza