Twende boutique nikuongezee vingine upendezeeeNdio vazi langu pendwa
Kwanza unakuwa very komfotabo
Kitight na shati/fulana kuuubwa,chini raba fulani hivi kaliiiiii
Jaribu utanishukuru badae
😍😍😍Twende boutique nikuongezee vingine upendezeee
Tunashukuru kwa taarifaNawasalimu,
Husika na kichwa hapo juu...
Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi.
Kama mjuavyo fashion za mavazi nyingi zinazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.
Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha.
Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.
Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa.
Sasa kumekuja kastaili fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu..
Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.
Hizi fashoni zinawapelekapeleka tu...
Dtila
Bila picha utakuwa unawasingizia
Nimekusoma, kama vile nakuonaNdio vazi langu pendwa
Kwanza unakuwa very komfotabo
Kitight na shati/fulana kuuubwa,chini raba fulani hivi kaliiiiii
Jaribu utanishukuru badae
Kuna hv vifupi hapo nyuma kidogo vilikuwa vinavaliwa ndani ya sketi tena wakawa wako makini visionekane lakin siku hz vinavaliwa kwa nje
Pisi inayovaa ivo naipenda. Talking about unforced steady blood flow. Inakata choresterol automatically sio mpaka kuenda ku-hit the tar. Im setting aside the budget. You get to choose the boutique bby...
Umenikumbusha Ex wangu toto la Tanga, ilkuwa ndo mapigo yake tukienda club, mafisi walkuwa wanatoka udenda
Kila nguo vazi lina mahala pake,hujakatazwa kuvaa jee vazi unalo vaa linakujengea heshima kwa wakubwa na wadogo zako wanao kuona.Ndio vazi langu pendwa
Kwanza unakuwa very komfotabo
Kitight na shati/fulana kuuubwa,chini raba fulani hivi kaliiiiii
Jaribu utanishukuru badae
Na mnavyopendeza sasa na kijana wa hovyo hapa wifi enu nampigilia hivyo vi-tight bhaaas muda wote mikono inapiga royo tuwa kwa wowo.Ndio vazi langu pendwa
Kwanza unakuwa very komfotabo
Kitight na shati/fulana kuuubwa,chini raba fulani hivi kaliiiiii
Jaribu utanishukuru badae
Akili za mwanamke wa kisasa ni matakoDonatila una akili sana wafundishe hawa wenzako