Wanawake sasa wanavaa vitaiti vya kuvaa ndani ya nguo

Wanawake sasa wanavaa vitaiti vya kuvaa ndani ya nguo

Nawasalimu,

Husika na kichwa hapo juu.

Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.

Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha. Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.

Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa. Sasa kumekuja kamtindo fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu.

Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.

Hizi "Fashoni" zinawapele kapeleka tu.


Dtila.
Zinaitwa biker short.......na hawavai vyupi ndani aibu kweli kweli
 
Screenshot_20221016-201125.jpg
 
Nawasalimu,

Husika na kichwa hapo juu.

Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.

Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha. Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.

Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa. Sasa kumekuja kamtindo fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu.

Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.

Hizi "Fashoni" zinawapele kapeleka tu.


Dtila.
Mimi nawapenda wale ambao ndani wanajiachia tuu.. Hawavai tena zile
 
Kila nguo vazi lina mahala pake,hujakatazwa kuvaa jee vazi unalo vaa linakujengea heshima kwa wakubwa na wadogo zako wanao kuona.

KUNA TOFAUTI NDOGO SANA AMBAYO TUNAWEZA TUSIIONE NA KUITAMBUA KATI YA KUWA NA ELIMU NA KUELIMIKA.

UNAWEZA KUWA NA ELIMU LAKINI UKAWA HUJAELIMIKA, KUELIMIKA KWA KUTUMIA ELIMU BASI UNAWEZA KUELEMISHA JAMII HUSIKA KUTOKANA NA ELIMU ULIYO NAYO.

MATENDO MACHAFU/MAOVU YANA TOKEA KILA SIKU,MFANO NI MATENDO HATARISHI YA UBAKAJI,KUENEA MAGONJWA YA ZINAA,KUFIFISHA UFAHAMU NA UELEWA{akili kudumaa},KUONGEZEKA KWA KUNDI LA VIJANA TEGEMEZI KUTOKANA NA HAYA MAVAZI YANAYO PELEKEA KUNDI OVU KUFANYA UASHERATI HII HUPELEKEA KUTENGENEZA VIZAZI MASIKINI HUKO MBELE.

MASIKINI NI NANI
MASIKINI NI KIUMBE MWENYE UWEZO MKUBWA SANA WA KUPATA CHANGAMOTO, MATATIZO{magonjwa,njaa,kukosa kazi,kukosa kipato,kukosa mavazi,akili kudumaa, afya ya akili} NA ASIWEZE KUYATATUA IPASAVYO.
Heshima ni Pesa tu,
Hata ukivaa majani ya Mgomba ukiwa na Pesa watu wataona umevaa Balenciaga.
 
zamani nlikua naona mwanamke yoyote anapofanya kitu ambacho mama yangu hafanyi ni makosa
Hivyo nlidhani hawatakiwi kuvaa skin/bukta au hata heleni zile kuuubwa😁😁😁
Au kupaka wanja na makolokolo yoote kumbe mama hakua anafanya sababu tu hapendi mbali na ulokole wake
Kumbe ulikua utoto tu ila still sipendi hata kidogo mwanamke akivaa /bukta na sulual
Mbali na visket vile vinabaaaana hadi chupi nje
Napenda avae gauni na sketi hata kama sio ndeeefu ila iwe normally bomba
Au magaun hiv yakumuweka good ki shape ya kike


Wanapendezaa
 
Nimesoma comment, naona kwa sisi wanawake kuvaa nusu uchi wanaume ndiyo sababu,

Mwanaume unafrahi kumuona mkeo kavaa vibukta na anapita kutembea barabarani
Ndio tunapenda....sii ndio wanapendezesha dunia
 
Back
Top Bottom