Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ka shem kangu flan kanapendaga sana kuvaa hivi na kipotabo hivi hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ka shem kangu flan kanapendaga sana kuvaa hivi na kipotabo hivi hivi
Hako kashem kako kapo salama kwako kweli?Ka shem kangu flan kanapendaga sana kuvaa hivi na kipotabo hivi hivi
Aaah sinaga viujinga vidogo vidogoHako kashem kako kapo salama kwako kweli?
Ama tutarajie kama yale ya marehemu katibu 🤗
Good 😍Aaah sinaga viujinga vidogo vidogo
Zamani ilikua unafunua chupi ukutane na tako,Ila Siku hizi unafunua tako ukutane na chupi-BikiniKuwaelewa wanawake unapaswa kua chizi kidg
Waacheni chaputa wapate hisia za kujichukulia sheria mkononiNawasalimu,
Husika na kichwa hapo juu.
Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.
Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha. Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.
Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa. Sasa kumekuja kamtindo fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu.
Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.
Hizi "Fashoni" zinawapele kapeleka tu.
Dtila.
Nguo tamuu hizi basi tu mazingira hayaniruhusu.
Nzuri kinyamaNguo tamuu hizi basi tu mazingira hayaniruhusu.
Mambo yako hayoTena zile tyt alafu mwanamke awe n thick thighs and onion booty mbona utafurahi. Bonge la vibration🤣🤣🤣
Halafu ndani asiwe amevaa underwear msambwanda unakuwa unatetema tuTena zile tyt alafu mwanamke awe n thick thighs and onion booty mbona utafurahi. Bonge la vibration🤣🤣🤣