Wanawake sasa wanavaa vitaiti vya kuvaa ndani ya nguo

Wanawake sasa wanavaa vitaiti vya kuvaa ndani ya nguo

zamani nlikua naona mwanamke yoyote anapofanya kitu ambacho mama yangu hafanyi ni makosa
Hivyo nlidhani hawatakiwi kuvaa skin/bukta au hata heleni zile kuuubwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Au kupaka wanja na makolokolo yoote kumbe mama hakua anafanya sababu tu hapendi mbali na ulokole wake
Kumbe ulikua utoto tu ila still sipendi hata kidogo mwanamke akivaa /bukta na sulual
Mbali na visket vile vinabaaaana hadi chupi nje
Napenda avae gauni na sketi hata kama sio ndeeefu ila iwe normally bomba
Au magaun hiv yakumuweka good ki shape ya kike


Wanapendezaa
[emoji41]
 
zamani nlikua naona mwanamke yoyote anapofanya kitu ambacho mama yangu hafanyi ni makosa
Hivyo nlidhani hawatakiwi kuvaa skin/bukta au hata heleni zile kuuubwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Au kupaka wanja na makolokolo yoote kumbe mama hakua anafanya sababu tu hapendi mbali na ulokole wake
Kumbe ulikua utoto tu ila still sipendi hata kidogo mwanamke akivaa /bukta na sulual
Mbali na visket vile vinabaaaana hadi chupi nje
Napenda avae gauni na sketi hata kama sio ndeeefu ila iwe normally bomba
Au magaun hiv yakumuweka good ki shape ya kike


Wanapendezaa
Upo vizuri,
 
Ndio tunapenda....sii ndio wanapendezesha dunia
Kujidhalilisha tu,

Wengine muwe mnawaambia hawapendezi wanamaumbo mabaya hatari yaani hadi aibu unaona mtazamaji,

Wavae lkn mtu ajiangalie na umbo lake anafit au vipi,mtu ana li tumbo,viguu kama fito wanachekesha na kujidhalilisha.
 
Kujidhalilisha tu,

Wengine muwe mnawaambia hawapendezi wanamaumbo mabaya hatari yaani hadi aibu unaona mtazamaji,

Wavae lkn mtu ajiangalie na umbo lake anafit au vipi,mtu ana li tumbo,viguu kama fito wanachekesha na kujidhalilisha.
Sasa sio wote wamebarikiwa trako skonsi kama lako jamani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom