mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Wewe si kichaa kama vichaa wengine,Kwani mie ninashida ya kuoa wewe? Ata mwanangu wakike avae tuu nikiona anapendeza sana namkula mie mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si kichaa kama vichaa wengine,Kwani mie ninashida ya kuoa wewe? Ata mwanangu wakike avae tuu nikiona anapendeza sana namkula mie mwenyewe
Kawaida mbona kuwa kichaa. Ila ndio nawachangamsha humu jfWewe si kichaa kama vichaa wengine,
Zile siku moja moja nikiwa naenda kwa mama mkwe. Skin jeans ndio zangu.Kama lile
Mtizamo wangu yeah hwapendezi kama wanamaumbo mabaya, wawaachie wenye shep[emoji16]Haya matusi sasa kwa madereva[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawapendezi ni mtazamo wako wao wanaona wamependeza inatosha.
Nikweli wenye thick thighs and onion booty ndio wanapendeza kuvaa hizo tyt.Mtizamo wangu yeah hwapendezi kama wanamaumbo mabaya, wawaachie wenye shep[emoji16]
🙆Kwani mie ninashida ya kuoa wewe? Ata mwanangu wakike avae tuu nikiona anapendeza sana namkula mie mwenyewe
Haya sasa ninunulie soda,mirinda nyeusiNikweli wenye thick thighs and onion booty ndio wanapendeza kuvaa hizo tyt.
Nawasalimu,
Husika na kichwa hapo juu.
Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.
Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha. Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.
Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa. Sasa kumekuja kamtindo fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu.
Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.
Hizi "Fashoni" zinawapele kapeleka tu.
Dtila.
View attachment 2390958
But mwanamke anaejitambua hawezi vaa hivyo na kupita kutembea barabarani eti,Alafu ni vikahaba ukipiga hapo hukosi gono, mtu mwenye kazi ya kufanya hawezi kuvaa hivyo ukiona kavaa hivyo ujue anaishi kwa kutumia ujuzi katikati ya miguu
Hiyo inaraisisha upigaji wa mechi chapu kidogo.Nawasalimu,
Husika na kichwa hapo juu.
Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.
Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha. Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.
Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa. Sasa kumekuja kamtindo fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu.
Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.
Hizi "Fashoni" zinawapele kapeleka tu.
Dtila.
View attachment 2390958
Mambo besty....vipi ulishapata company
Njoo pm basi unitumie picha ya tako skonsiHaya sasa ninunulie soda,mirinda nyeusi
NililalaMambo besty....vipi ulishapata company
Tuma Picha PM kwa ushahidi JoanahNdio vazi langu pendwa
Kwanza unakuwa very komfotabo
Kitight na shati/fulana kuuubwa,chini raba fulani hivi kaliiiiii
Jaribu utanishukuru badae
Safi...lala ukuweNililala
Kipimo cha mwanamke kujitambua ni kumuangalia kwanza vile anavyousitiri mwili wake akishindwa kustiri mwili wake ujue hilo ni tatizo anafaa tu kupiga nae picha siyo kwa matumizi mengineBut mwanamke anaejitambua hawezi vaa hivyo na kupita kutembea barabarani eti,
😂 Sema nizeekeSafi...lala ukuwe
😂 Akili zako sasaNjoo pm basi unitumie picha ya tako skonsi