Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sio Mimi ni Rafiki yangu MentorHapa jamaa ulituliza akili kuandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Mimi ni Rafiki yangu MentorHapa jamaa ulituliza akili kuandika
Amini mwaisa kuna viwanja mademu wanakuja na gari nikikuambia tafuta gari ya kuanzia 2017 kushuka chini ukiipata hiyo jackpot kwako, na ukiikuta ni wana tu wamepotea viwanja sio vyakwao tu.bro kama upo dar naomba ukodi gari unayoijua wewe nikupeleke mahali afu ukipata tu parking au ukikaa lisaa bila kunyanyuliwa ukatoe gari yako wapaki wenye magari basi ndio uje utambe na uzi wako huo,
Baada ya hapo uniambie kama kweli wanawake wanapaparika na magari au wadangaji,
maana hata mwanamke anayejielewa huwezi mchukua kizembe namna hiyo, na ukizingatia wanawake wenye akili timamu huwezi walala wawili watatu nk kwa mkupuo
sema Mwaisa nimependa kujinadi kwako utawapata hapa mapompompo wengine subiria tu
bakabakikulu abo nkamu madebe tu
Ila nimemsoma anaonekana ushamba unamsumbua + hana akiliKanikera namuombea apare na Ukimwi hawatupumzishi yaani
Kabisa anamatatizo kujisifia ujinga na upuuziIla nimemsoma anaonekana ushamba unamsumbua + hana akili
Anatafuta kubondwa 🤣Daah huyo jamaa anatuchkuliaje kwani
Sijapentaa😂
Niwezeshe nikatibiwe mpenzi wakati unaendelea na mchakato nipate hata CHF🤗Pole babe,, huna bima uende hosp? 🤣
Lamba malimao basi 😃 chuma hapo mti wa nyumaNiwezeshe nikatibiwe mpenzi wakati unaendelea na mchakato nipate hata CHF🤗
Ule mti ulishakauka msimu wa jua huu eti😌Lamba malimao basi 😃 chuma hapo mti wa nyuma
Ngoja niagize premio moja kali na mimi
Wenyewe maslay qwin wanaita kamserereko..Hawataki shida ndogondogo za kuchabanga na kudandia daladala
Njoo basi nikufikisha mlima avalesti kabisa
Mma naloli nkamu gwangu ..Uli ntungulu ughwe.
Nchi za kimaskini kama hizi za kwetu mtazamo wa wengi wanaona gari kama ni anasa, wakati gari ni hitaji kama mahitaji mengine tu! Kungekuwa na usafiri wa umma wa uhakika ni nani angetaka kumiliki gari binafsi!?Mnapenda sana magari yatawapeleka kubaya...
Anaona wivu atafute cashNdugu yangu unaonekana una hasira sana na maisha pia unaonekana hata baiskeli tu hujui kuendesha.
Wenzio kinachotuokoa tunajua kuendesha vyombo mbali mbali vya usafiri hata kama hatuna (mimi mpaka treni naendesha kasoro meli na ndege tu) hivyo ikitokea chansi ya kizembezembe kama hiyo huwa tunaitumia Effectively.