Wanawake shida yenu nini mpaka mkiona mtu ana gari mnababaika?

bro kama upo dar naomba ukodi gari unayoijua wewe nikupeleke mahali afu ukipata tu parking au ukikaa lisaa bila kunyanyuliwa ukatoe gari yako wapaki wenye magari basi ndio uje utambe na uzi wako huo,
Baada ya hapo uniambie kama kweli wanawake wanapaparika na magari au wadangaji,

maana hata mwanamke anayejielewa huwezi mchukua kizembe namna hiyo, na ukizingatia wanawake wenye akili timamu huwezi walala wawili watatu nk kwa mkupuo

sema Mwaisa nimependa kujinadi kwako utawapata hapa mapompompo wengine subiria tu

bakabakikulu abo nkamu madebe tu
 
Amini mwaisa kuna viwanja mademu wanakuja na gari nikikuambia tafuta gari ya kuanzia 2017 kushuka chini ukiipata hiyo jackpot kwako, na ukiikuta ni wana tu wamepotea viwanja sio vyakwao tu.
nisawa na uende kitambaa cheupe useme umeopoa demu kweli mwaisa? 😀 😀 😀 😀 😀
 
Anaona wivu atafute cash
 
Hakuna kitu kibaya kama umaskini, umaskini unatweza utu, na ubinadamu.
Umaskini umekua kama fimbo ya kuchapwa.
Bahati mbaya sote bado tupo kwenye umaskini, lakini umaskini umetufanya tusijione tena kama maskini, na kuwaona wengine ni maskini, na kuutumia umaskini wao kuwaadhibu.

Kama gari la kuazimishwa limetweza utu wa wasichana watatu basi umaskini ni mbaya mno.

Ndugu mleta mada hakuna chochote kilichoongezeka kwako kwa hilo tukio badala yake utakuja kulipa siku ya malipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…