Wanawake shida yenu nini mpaka mkiona mtu ana gari mnababaika?

Wanawake shida yenu nini mpaka mkiona mtu ana gari mnababaika?

Ndugu yangu unaonekana una hasira sana na maisha pia unaonekana hata baiskeli tu hujui kuendesha.

Wenzio kinachotuokoa tunajua kuendesha vyombo mbali mbali vya usafiri hata kama hatuna (mimi mpaka treni naendesha kasoro meli na ndege tu) hivyo ikitokea chansi ya kizembezembe kama hiyo huwa tunaitumia Effectively.
Na ubunifu huo lakini bado unaishi kwa shemeji yako unagombania remote na kina junia[emoji2957]
 
Mi ndio na bahati mbaya kila nikienda bar nikataka kung'oa mali mara nyingi zinaniambia twende tukaongelee kwenye gari yako .Nabaki kusema tu kimoyo moyo hiiii hiiii.Naishia kuzuga zuga parking mpaka mali zinapepea.
Acha bia kwanza tafuta Passo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahahah kummmmk[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hadi umewala goti speed ya 5G

Sasa kama mimi niliyeanza kuendesha mindinga mikali ya familia, na sasa ninamiliki za kutosha utanibabaisha kweli?

By the way hata wanaume yanashoboka sana na madada wenye ndinga acheni kujisifia[emoji57][emoji57]
Mko wachache sana the rest wote hata ukitupia picha tu mtandaoni ukiwa pembeni ya gari anaamini ni yako na unaweza kumbandua kirahusi tu raha yake akavimbe kwa wenzie kwamba kaliwa na jamaa anadrive. Yani nyie mnaakili za kitoto sana.

Hata wewe pamoja na kwamba una gari lakini utakuta unakuja kuachie mbunye kwa mtu atakaye kuongeza lita moja ya mafuta kwa bili yake au utaliwa mbunye na mwenye pikipiki aina ya baja (Ndivyo mlivyo usibishe)
 
Mwe Mughonileeeeee(Mtaelewa tu, mbona amapiano mnasikikiza).

Jana bwana nimetulia pale maeneo ninayoishi ghafla nikapokea simu toka kwa mshaji wangu ambaye tunaiva ile kinazi akiniambia muda si mrefu atapiga hapa kwangu na gari yake ataiacha hapa maana watu anaotakiwa kuonana nao hawatakiwi kujua kama mchizi ana gari (Harrier nyeusi, huku kwetu tunaziita Python maana ukiziangalia zinakuita).

Basi bwana jamaa akafika nakuliacha gari pale nilipopanga na uzuri majirani hawakuwepo hivyo walivyokuja wakalikuta na kwa mikwara zaidi nikafungua buti kule nyuma nikakaa kwa ndani huku nimefungulia bonge la mziki (niliplay ngoma moja kali sana ya T.I - What You Know). Wakabaki wanatoatoa macho tu mimi naminya minya zangu simu maana bando liko full mpaka data ilikuwa inajiwasha yenyewe.

Ghafla bin vuu nikapata wazo la kwenda na ile ndinga kwenye car wash moja hivi wana bar moja kali sana pale, pia hiyo car wash iko mkabala na chuo kimoja kikubwa sana hapa town.

Ile naingia tu nakuta kundi kubwa la madem pale na waliniona ninavyoshuka kwenye Harrier, walikuwa wanakunywa lite zao huku wakipiga stori za cozwek nikajua tu hawa ni wanachuo wa chuo X na ni wamoto hatari kuanzia mavazi mpaka shape.

Basi mtaalam nikatimba pale sina stori na mtu kwanza nikaagiza carton mbili za heineken (Mimi na heineken wapi na wapi? Mimi zangu ni K-Vant na konyagi sana sana nikikosaga hizo basi naruka na bingwa kadhaa. Nilifanya hivyo ili tu niwatoe wenge hawa maslay queen). Na kweli niliwatoa wenge maana macho yote yakahamia kwangu, vi lite vyenyewe wanalamba lamba tu kidogo ili visiishe haraka na wakicheki huku mjuba nina carton mbili za heineken.

Sikuwapa hata muda wa kupumzika mammaaeee nikaita mtu wa jikoni fasta ikaja kitimoto gafla kilo moja na nusu. Mmoja wao kati ya wale madem uzalendo ukamshinda akajifanya anaenda washroom njia iko kuleee ila akapita pembeni ya meza yangu na mtako wake mimi namcheki tu kiwizi wizi anavyoutingisha ili nimuone.

Picha linaanza wakati anarudi. Akasimama mbele yangu na kunisalimia "mambo" .. nikamjibu safi habari yako!!? Akasema I'm good(na vingereza vyao vya kislay slay).

Mara oooh would you mind if we join your table? Nikamwambia no but some of you..... Akarudisha tena swali kwangu.... Yupi na yupi.? Hapo sasa simba nikapewa uwanja wa kuchagua swala... Nikawachagua wawili toka kwenye lile group na yeye pia jumla wakawa watatu.

Nikawaambia malizieni hizo heineken nikaitisha tena kilo mbili za kitomoto nikawaambia mkimaliza tuhame kiwanja twende sehem nzuri zaidi wakasema poa.

Wamemaliza nikawakokota mpaka kwenye harrier(kama yangu vile kumbe walaa kidume navimba tu).

Kufupisha huu mkasa tuliishia kupiga sijui ndiyo wanaita threesome au kitu gani. Niliwakung'uta wote watatu tukiwa humo humo chumbani, niliwapiga bao moja moja ila wa mwisho ndiyo alikoma maana bao lilikuwa halitoki.

Nikaagana nao bila kuwapa hata sh mia. Nikawasha gari nduki nikamtumia mesej yule aliyenifata mara ya kwanza kuwa nitawacheki weekend ijayo niwapekeke dodoma wakaone mji mpya akasema tutafurahi sana dear.

Lakini hii yote ni nguvu ya gari tu. Wanawake kwani hamutajui magari?

Kipi kinafanya mtu akiwa na gari unamuona kama Mungu mtu?

Mbona sisi wanawake wenye magari hatuwashibokei ila nyie ndiyo viherehere mnayajua sana magari.

Nimewalamba wote watatu chumba kimoja humo humo kisa gari. Na walikuwa wanafanya kila nilichowaambia (usiulize niliwafanyaje)
Ulikutana na vidada visivyojielewa na vilikua kwenye biashara....mwanamke anaejielewa hawez kujigonga kwa mwanaume eti kisa gari sijui kitimoto never.
 
Unapapatikia gari na si yako alafu? Kusema utanufaika na lolote hakuna labda ni hizo lifti tu na zinakuongezea nini? Hapa ndio linapokuja suala la binadamu kutofautiana kila mmoja ana namna yake anavyochukulia mambo kwenye maisha haya.
Ni kweli gari haukuwa yangu na sijaficha hilo. Kama wenzio walikubali kuvua nguo wote watatu wakiwa chumba kimoja basi wewe ndiyo utaliwa hadi juu ya pikipiki.

Tena nyie mnaobisha bisha kwa nguvu ndiyo wale waleeee wa kucha ndefu, kuchambia tishu, lipstick mpaka mashavuni, kuchonga nyusi mpaka zinaisha zote(Aisee mtafika mmechoka sana kunako uzima)
 
Ni kweli gari haukuwa yangu na sijaficha hilo. Kama wenzio walikubalu kuvua ngua woye watatu wakiwa chumba kimoja basi wewe ndiyo utaliwa hadi juu ya pikipiki.

Tena nyie mnaobisha kwa nguvu ndiyo wale waleeee wa kucha ndefu, kuchambia tishu, lipstick mpaka mashavuni, kuchonga nyusi mpaka zinaisha zote(Aisee mtafika mmechoka sana kunako uzima)
Wewe hujaelewa nilichomaanisha soma vzuri. Nmesemea MWANAMKE anaehangaika na wanaume kisa wako na magari.
 
It's sound like chai [emoji28][emoji28][emoji28]
Umewaza kama mimi
1654079890265.jpg
 
Back
Top Bottom