Aisee 😃😃😃Mkuu yani mtu anakuwa kama uso ni yai.. unapoteza maana kabisa..
View attachment 2746210
Yna mtu anakuwa yuko hivyo.
Hii nchi mtauzwa ninyi wapuuzi nyinyi...
Siku hizi inaitwa Skin care routine na siyo Mkorogo tena[emoji23]
Nilitak nikanunue mngesubiri ni glow na mimi ndio mseme🤣a.k.a kuglow[emoji81]