Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe ni mwanamke wa Singida?, Ili Tukuulize kama walichofanya hao wengine hakistahili?Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
Ayu wang'uuNa wewe homeboy unaamini huyo ni Mama wa Singida?
Ziara ya Mheshimiwa imefanyika Singida huku tayari hiyo clip ipo kitambo, haihusiani kabisa na hii ziara, wametubambikizia tu.
Amucha
Masikini bado tunasafari ndefu sanaKama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
Ndugu yangu, ndo uone kaliba ya watu tulio nao Tz...... Tena umati wote ukapiga vigelegele... sasa hapo, utegemee Kwa watu hao upate maendeleo??Hii nchi ina watu wajinga sana...
Hustahili kujibiwa na mimi hata mstari mmojaWewe nawe ni mwanamke wa Singida?, Ili Tukuulize kama walichofanya hao wengine hakistahili?
was it necessary? Cha asubuhi ndio kinachovunja ndoa?Tuache usahalifu hizi taarifa za ndoa kuvunjika kisa wanawake kudamka kufuata maji si zipo Kila siku sasa watu wakitoa mrejesho hamtaki kusikia acheni dharau za kipumbavu.
Huu msemo mbona kama avatar ya Elli 🤣🤣Hii nchi ina watu wajinga sana...
Angalau watu wa Kaskazini. Ingalikua Bagamoyo hao comment zingalikua wamekimbia shule wameenda madrasaNajuta sana kwanini nilizaliwa Tanzania
Ka nini hako ? Niko Dunia ya 6 nini ?Imagine ni mamako mbele ya kinasa sauti anasema ka sakumi namoja ,,,,,
Cha asubuhi ka nini hako? Maana kasema ndoa yake imeimarika.was it necessary? Cha asubuhi ndio kinachovunja ndoa?
Mwenye mama afanye kuja kumchukua,,,,=(kabao)Ka nini hako ? Niko Dunia ya 6 nini ?
Mzazi wa MTU huyoCha asubuhi ka nini hako? Maana kasema ndoa yake imeimarika.
🤣😅🤭😹😂😆Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
Illiteracy 💔Kweri ni huongo mutupu, hii kiripu ni ya kabula ya ziala