Wanawake Singida wamshukuru Samia Kwa "Cha Asubuhi"

Wanawake Singida wamshukuru Samia Kwa "Cha Asubuhi"

Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
Wewe nawe ni mwanamke wa Singida?, Ili Tukuulize kama walichofanya hao wengine hakistahili?
 
Yeye aliwaambia wameng'aa kisa maji yapo ya kutosha sasa, nao wanamjibu wanafurahi sasa kupata cha asubuhi. Mkuu huoni kuwa ni pipa na mfukino, and to be sincere hii inaakisi tabia ya watanzania walio wengi.
 
Tuache usahalifu hizi taarifa za ndoa kuvunjika kisa wanawake kudamka kufuata maji si zipo Kila siku sasa watu wakitoa mrejesho hamtaki kusikia acheni dharau za kipumbavu.
was it necessary? Cha asubuhi ndio kinachovunja ndoa?
 
Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
🤣😅🤭😹😂😆
 
Back
Top Bottom