Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayuu ghuri waukhayaNa wewe homeboy unaamini huyo ni Mama wa Singida?
Ziara ya Mheshimiwa imefanyika Singida huku tayari hiyo clip ipo kitambo, haihusiani kabisa na hii ziara, wametubambikizia tu.
Amucha
HahahahahaNajuta sana kwanini nilizaliwa Tanzania
Fact.Lafudhi ya huyu mama sio MTU wa singida huyu ni MHAYA ORIGINAL
Huyo hana hata lafdhi ya watu wa Singida, ni mjinga mmoja tu wa kutokea chato huko.Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
Unajutaje wakati wewe siyo mtzNajuta sana kwanini nilizaliwa Tanzania
Huyo hana hata lafdhi ya watu wa Singida, ni mjinga mmoja tu wa kutokea chato huko.
Kawashtaki waliokuzaa, waulize kwanini walikuzaa kwani hawakumga njNajuta sana kwanini nilizaliwa Tanzania
Yeye aliwaambia wameng'aa kisa maji yapo ya kutosha sasa, nao wanamjibu wanafurahi sasa kupata cha asubuhi. Mkuu huoni kuwa ni pipa na mfukino, and to be sincere hii inaakisi tabia ya watanzania walio wengi.
Unajuta kwanini wakati ccm ndo wapo hivyo??Najuta sana kwanini nilizaliwa Tanzania
Ahahahahahahaha Nimecheka sana!Eti watu km hawa ndo tunaambiwa wapewe elimu ya katiba kwa miaka 3 ndo katiba mpya ipatikane. Mimi Bandokitita nasema huyu hata akipewa miaka 💯 hajui chochote juu ya katiba mpya yeye mwili wake muda wote unawaza ngono tu.
Ukitaka kula lazima uliwe kidogo;Naunga mkono hoja. Tazama zile komedi za watubaki ni mawazo ya ngono tu. Hovyo sana.