DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Dawa ya deni ni kulipa au ulivyosema akukopeshe ulimaanisha nini?kuna jamaa alinitongoza nikamuomba anikopeshe elf 30 nitamlipa mwisho wa mwezi akanipa eti mwisho wa mwezi akaanza kunidai kweli loh nilishangaa sana yaani