Wanawake tabia yenu ya kujipikilisha haifai

Wanawake tabia yenu ya kujipikilisha haifai

Mkuu Mungu niguse ngoja nikupe Siri moja ambayo labda hujui kuhusu mkeo. Mkeo hawa anapakuliwa paouchi na yule jamaa bishoo wa hapo mtaani kwenu wakati uko kazini ndiyo maana unamwona mkeo kama anachelewa kupika kumbe we ukifika yeye ndo anaanza kupika.

Iko hivyo.
 
Hawezi kukujibu hivyo kama wewe ni mwanaume. Labda uwe shoga yake
Na kwa nini utake kujiinua ili mkeo akujue kama ni mwanaume kweli kwa vitu vidogo kama mapishi jikoni?

Na siku ukimuagiza aende kwenu kumuuguza mama yako aseme haendi utauonyeshaje uanaume wako?ni kuzua taharuki tu isiyokuwa na mpango.
 
Back
Top Bottom