Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Kipindi sijaanza kujitegemea naishi home hii kitu walikua nayo sana dada zangu yaani unakuja kushtuka mnakula chakula saa 10 jioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaboa Sana hii tabia Mkuu mtu kila kitu kipo anapika masaa kibaoKipindi sijaanza kujitegemea naishi home hii kitu walikua nayo sana dada zangu yaani unakuja kushtuka mnakula chakula saa 10 jioni
Hutaki kusubiri chakula kipike chakula?🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huwa nachukukizwa na tabia ya wanawake ya kujipikilisha unakuta mtu anapika wali na nyama masaa kibao mpaka unashangaa.
Hii tabia inaboa sana.
Hawezi kukujibu hivyo kama wewe ni mwanaume. Labda uwe shoga yakeWewe unatafuta kujibiwa vibaya na mkeo hapo nyumbani urudi humu kujaza server na kauli mbiu zenu za hovyo kama kataa ndoa.
Mkeo akikwambia njoo upike mwenyewe kama unaona rahisi sana atakuwa mbaya?
Sasa si bora usingekuwepo kabisa 😃Hahahaa inaonesha ubao unakuchonga sana mzeee😆😆
Sasa kakaKapike wee, mxxxxiiiieeew.
Sawa my sisterMkuu Mungu niguse ngoja nikupe Siri moja ambayo labda hujui kuhusu mkeo. Mkeo hawa anapakuliwa paouchi na yule jamaa bishoo wa hapo mtaani kwenu wakati uko kazini ndiyo maana unamwona mkeo kama anachelewa kupika kumbe we ukifika yeye ndo anaanza kupika.
Iko hivyo.
Hatimae mwenye jibu la kumfaa Tena anatufokea sasakama umemchoka bora umwambie mapema kuliko kuja kutafuta sababu zisizo na msingi.
Sawa kaka yanguIngia jikoni upike mwenyewe
Mkuu mpaka niichakate hiyo donati yako ndo ugundue kuwa Mimi ni mwanaume rijali?.Sawa my sister
Sawa kaka yangu
😲😲😲😲Mkuu mpaka unichakate donati yangu ndo ugundue kuwa Mimi sio rijali?.
Fikiria mara mbili mbili.
HakikaSisi wanaume tupo hivyo
Na kwa nini utake kujiinua ili mkeo akujue kama ni mwanaume kweli kwa vitu vidogo kama mapishi jikoni?Hawezi kukujibu hivyo kama wewe ni mwanaume. Labda uwe shoga yake
Mbona umemind kama na wewe ni mwanamke?Kapike wee, mxxxxiiiieeew.