Wanawake tabia yenu ya kujipikilisha haifai

Wanawake tabia yenu ya kujipikilisha haifai

Kitimoto kipo wapi mboni hujaweka mkuu wa Meza? 😬
Unakula na ndizi ama ugali ?
1000026365.jpg
1000026366.jpg
 
Ndio maana mwanaume hutakiwi kutegemea chakula cha nyumbani japo ni lazima ule ili kutunza ndoa 😁
 
timua hiyo mtu ikajipikilishe ikiwa kwao,hela ya chakula uache wewe afu kuchelewa kula uchelewe wewe,au linakuwa linakukomoa nini .ahfghh!! manake majanamke mengine machoyo.
 
Back
Top Bottom