Niongezee na roast maini mkuu 😋
Kesho ndio Kwarezima inaanzaMh! si tupo kwenye mfungo imekuwaje tena huko kwani mwezi umeandama wakati ndo kwanza chungu cha nne!!!
Uwe unachangamsha mkono au ndio unataka kuliwa wewe kwanza?Ale mawe
Wewe kula huko huko kabla hujarudi nyumbaniUwe unachangamsha mkono au ndio unataka kuliwa wewe kwanza?
Swaumu
Eti kisingizio chai ya hasubuhi ilikua nzitoInaboa Sana hii tabia Mkuu mtu kila kitu kipo anapika masaa kibao
Hapana ni Remix.Kwahiyo We ni toleo la pili?