Mbeba Rawama
Member
- Apr 10, 2020
- 18
- 33
Hivi moderators wote mumeshindwa kuublock huu Uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi wanaume ndo mmekuwa,Hivi moderators wote mumeshindwa kuublock huu Uzi
-Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela.
Wadada tafuten hela zenu, vigezo vya kudumu kwenye mahusiano vimeongezeka, heshima sawa ipo, lakin kuwa na hela zako tayari ni kigezo siku hizi. Mwanaume akidate nawewe akagundua hauna hela amini nakuambia hamfiki mbali utaachwa tu, sababu anajua amejitwisha furushi.
Wadada tafuteni hela zenu, hata kumpata mwanaume mwenye hela siku vijana nao wanaangalia je nawew una hela? Kama huna hela utakoma, utaombwa tigo, utapigwa stail zote huheshimiki, maana anakuona km amekuokota akulishe, au malaya tu mnabadilishana bidhaa yeye anakupa hela wew unampa papuchi.
Wadada tafuten hela zenu, Vikao na Vilio vya Vijana kulalamika kuombwa hela na wadada vinazidi kupanda kwa kasi ya ajabu, wanaogopwa kuombwa hela balaa, wapo tayari wazime simu au hata wakublock km unasumbua sana kuomba hela.
WADADA TAFUTEN HELA ZENU
Amna kitu na hate kama kuombana ombana helaKama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela.
Wadada tafuten hela zenu, vigezo vya kudumu kwenye mahusiano vimeongezeka, heshima sawa ipo, lakin kuwa na hela zako tayari ni kigezo siku hizi. Mwanaume akidate nawewe akagundua hauna hela amini nakuambia hamfiki mbali utaachwa tu, sababu anajua amejitwisha furushi.
Wadada tafuteni hela zenu, hata kumpata mwanaume mwenye hela siku vijana nao wanaangalia je nawew una hela? Kama huna hela utakoma, utaombwa tigo, utapigwa stail zote huheshimiki, maana anakuona km amekuokota akulishe, au malaya tu mnabadilishana bidhaa yeye anakupa hela wew unampa papuchi.
Wadada tafuten hela zenu, Vikao na Vilio vya Vijana kulalamika kuombwa hela na wadada vinazidi kupanda kwa kasi ya ajabu, wanaogopwa kuombwa hela balaa, wapo tayari wazime simu au hata wakublock km unasumbua sana kuomba hela.
WADADA TAFUTEN HELA ZENU
Kwanza hujui hata kuandika eti mbeba rawama. Ni lawamaHivi moderators wote mumeshindwa kuublock huu Uzi
Wanaume tunapenda sana kuhudumia ila tatizo dada zetu wamegeuka kuwa matapeli mimi nimeamua kukomaa na hawa wa short timeKama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela.
Wadada tafuten hela zenu, vigezo vya kudumu kwenye mahusiano vimeongezeka, heshima sawa ipo, lakin kuwa na hela zako tayari ni kigezo siku hizi. Mwanaume akidate nawewe akagundua hauna hela amini nakuambia hamfiki mbali utaachwa tu, sababu anajua amejitwisha furushi.
Wadada tafuteni hela zenu, hata kumpata mwanaume mwenye hela siku vijana nao wanaangalia je nawew una hela? Kama huna hela utakoma, utaombwa tigo, utapigwa stail zote huheshimiki, maana anakuona km amekuokota akulishe, au malaya tu mnabadilishana bidhaa yeye anakupa hela wew unampa papuchi.
Wadada tafuten hela zenu, Vikao na Vilio vya Vijana kulalamika kuombwa hela na wadada vinazidi kupanda kwa kasi ya ajabu, wanaogopwa kuombwa hela balaa, wapo tayari wazime simu au hata wakublock km unasumbua sana kuomba hela.
WADADA TAFUTEN HELA ZENU
Nafasi ya mwanaume mmeivuruga wenyewe, mnataka mfanane na mwanaume siku hz mnapambana muwe sawa na Wanaume, nafasi ya wanaume zaman ilikuwa inaonekana kwasababu mwanamke alikubali kuwa mwanamke.. kwa hii hali ya sasa huko mbele hali itakuwa mbaya sanaSiku hizi wanaume ndo mmekuwa,
wambea
kwenye wivu
waongeaji?
sijui hata nafasi ya mwanamke kwenye jamii ni ipi?
Hivi wadada wa hivi wapo kweli ? Aisee Au ulimzoesha ukienda hapo lazima umpe chochote mtu anaombaje hela ghafla hivyo?Nimeenda sehem kula mchemsho wa kuku ..nimemaliza kula nikala na bia kadhaaa ile nataka kuondoka binti aliekua ananihudumia kaniletea karatasi ya hukum ( bill) nikalipa nataka kusepa huyo binti kaomba hela ya kula nikamuuliza unataka sh ngapi? Kasema buku tatu ...ohh nikasema ninsawa mi nakupa 2500 [emoji1] aisee huyu binti ame mind anasema nimpe yote nikamuuliza afya Ni Yangu au Ni yako? Nikamwambia hata Mia hupati apa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke atakaefata huu ushauri kaenda na maji, Tulipo na tunapoenda Hela ni kila kitu
Kwan hamtaki haki sawa tena jaman [emoji23][emoji23]Siku hizi wanaume ndo mmekuwa,
wambea
kwenye wivu
waongeaji?
sijui hata nafasi ya mwanamke kwenye jamii ni ipi?