Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela.

Wadada tafuten hela zenu, vigezo vya kudumu kwenye mahusiano vimeongezeka, heshima sawa ipo, lakin kuwa na hela zako tayari ni kigezo siku hizi. Mwanaume akidate nawewe akagundua hauna hela amini nakuambia hamfiki mbali utaachwa tu, sababu anajua amejitwisha furushi.

Wadada tafuteni hela zenu, hata kumpata mwanaume mwenye hela siku vijana nao wanaangalia je nawew una hela? Kama huna hela utakoma, utaombwa tigo, utapigwa stail zote huheshimiki, maana anakuona km amekuokota akulishe, au malaya tu mnabadilishana bidhaa yeye anakupa hela wew unampa papuchi.

Wadada tafuten hela zenu, Vikao na Vilio vya Vijana kulalamika kuombwa hela na wadada vinazidi kupanda kwa kasi ya ajabu, wanaogopwa kuombwa hela balaa, wapo tayari wazime simu au hata wakublock km unasumbua sana kuomba hela.

WADADA TAFUTEN HELA ZENU
-
Polish_20210205_071753156.jpg
 
Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela.

Wadada tafuten hela zenu, vigezo vya kudumu kwenye mahusiano vimeongezeka, heshima sawa ipo, lakin kuwa na hela zako tayari ni kigezo siku hizi. Mwanaume akidate nawewe akagundua hauna hela amini nakuambia hamfiki mbali utaachwa tu, sababu anajua amejitwisha furushi.

Wadada tafuteni hela zenu, hata kumpata mwanaume mwenye hela siku vijana nao wanaangalia je nawew una hela? Kama huna hela utakoma, utaombwa tigo, utapigwa stail zote huheshimiki, maana anakuona km amekuokota akulishe, au malaya tu mnabadilishana bidhaa yeye anakupa hela wew unampa papuchi.

Wadada tafuten hela zenu, Vikao na Vilio vya Vijana kulalamika kuombwa hela na wadada vinazidi kupanda kwa kasi ya ajabu, wanaogopwa kuombwa hela balaa, wapo tayari wazime simu au hata wakublock km unasumbua sana kuomba hela.

WADADA TAFUTEN HELA ZENU
Amna kitu na hate kama kuombana ombana hela
 
Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela.

Wadada tafuten hela zenu, vigezo vya kudumu kwenye mahusiano vimeongezeka, heshima sawa ipo, lakin kuwa na hela zako tayari ni kigezo siku hizi. Mwanaume akidate nawewe akagundua hauna hela amini nakuambia hamfiki mbali utaachwa tu, sababu anajua amejitwisha furushi.

Wadada tafuteni hela zenu, hata kumpata mwanaume mwenye hela siku vijana nao wanaangalia je nawew una hela? Kama huna hela utakoma, utaombwa tigo, utapigwa stail zote huheshimiki, maana anakuona km amekuokota akulishe, au malaya tu mnabadilishana bidhaa yeye anakupa hela wew unampa papuchi.

Wadada tafuten hela zenu, Vikao na Vilio vya Vijana kulalamika kuombwa hela na wadada vinazidi kupanda kwa kasi ya ajabu, wanaogopwa kuombwa hela balaa, wapo tayari wazime simu au hata wakublock km unasumbua sana kuomba hela.

WADADA TAFUTEN HELA ZENU
Wanaume tunapenda sana kuhudumia ila tatizo dada zetu wamegeuka kuwa matapeli mimi nimeamua kukomaa na hawa wa short time
 
Siku hizi wanaume ndo mmekuwa,
wambea
kwenye wivu
waongeaji?

sijui hata nafasi ya mwanamke kwenye jamii ni ipi?
Nafasi ya mwanaume mmeivuruga wenyewe, mnataka mfanane na mwanaume siku hz mnapambana muwe sawa na Wanaume, nafasi ya wanaume zaman ilikuwa inaonekana kwasababu mwanamke alikubali kuwa mwanamke.. kwa hii hali ya sasa huko mbele hali itakuwa mbaya sana
 
Nimeenda sehem kula mchemsho wa kuku ..nimemaliza kula nikala na bia kadhaaa ile nataka kuondoka binti aliekua ananihudumia kaniletea karatasi ya hukum ( bill) nikalipa nataka kusepa huyo binti kaomba hela ya kula nikamuuliza unataka sh ngapi? Kasema buku tatu ...ohh nikasema ninsawa mi nakupa 2500 [emoji1] aisee huyu binti ame mind anasema nimpe yote nikamuuliza afya Ni Yangu au Ni yako? Nikamwambia hata Mia hupati apa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wadada wa hivi wapo kweli ? Aisee Au ulimzoesha ukienda hapo lazima umpe chochote mtu anaombaje hela ghafla hivyo?
 
Kuhonga sio ni chanzo cha umasikini kwa vijana Wengi ila wanaoathirika Wengi ni wakiume, bali kuna wanawake wanahonga pia, na mwisho wa siku matokeo ni umasikini na kulalamika, Ni vizuri kuhakikisha unatumia pesa yako kwa kufanya uwekezaji.
 
jamii forum imefanya niwe jeuri mno mtaanii washikaji nawambia manzi yang anaitwa jamii forum hajui tabia za tuma na ya kutolea í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
 
Back
Top Bottom