joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kadri wanawake na wanaharakati wanavyo jitahidi kupush hii ajenda yao ya 50/50 ndivyo wanaume nao wanazidi kupungua wamebakia wavulana.
Nashukuru ktk maisha yangu tokea nijihusishe na mapenzi sijawahi kuipigia hesabu hela ya mwanamke.
Nashukuru ktk maisha yangu tokea nijihusishe na mapenzi sijawahi kuipigia hesabu hela ya mwanamke.