Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

Dada wa taifa kaizungumzia sana hii mada...
View attachment 1695594View attachment 1695595
Mange Ni advocate wa udangaji .

Pamoja na babake kuwa na mapesa still she was fvcked for them coins .

Disgusting aisee

Juzi Kati anamfacilitaje hamisa ana mbweto na Rick Ross.[emoji1]

Way back alimponda mama manunu kwamba analiwa na akina Idris choka mbaya[emoji1].

Huyu mtu ndio maana wabongo walimgomea kuingia mtaani keyboard warrior[emoji1787]

By the way sijawahi mchukia kweli na sijawahi mpenda [emoji1787]
 
Kadri wanawake na wanaharakati wanavyo jitahidi kupush hii ajenda yao ya 50/50 ndivyo wanaume nao wanazidi kupungua wamebakia wavulana.

Nashukuru ktk maisha yangu tokea nijihusishe na mapenzi sijawahi kuipigia hesabu hela ya mwanamke.
Hakuna anayeipigia hesabu hela za mwakamke .

Ila wadau wanajaribu kutoka kwenye mazoea maana bidii za kudai 50/50 zimepamba Moto .[emoji1787]

Its about "what u have to offer rather than sex..."[emoji1787]

Hapo ndio mtihani
 
Tuelewane aisee
InShot_20210617_203213758.jpg
 
Back
Top Bottom