Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

Kadri wanawake na wanaharakati wanavyo jitahidi kupush hii ajenda yao ya 50/50 ndivyo wanaume nao wanazidi kupungua wamebakia wavulana.

Nashukuru ktk maisha yangu tokea nijihusishe na mapenzi sijawahi kuipigia hesabu hela ya mwanamke.
 
Nafurahia mada kama hizi sana!

Awareness imeanza kuja kwenye jamii miongoni mwa wanaume!

Rasilimali za familia zimekuwa zikitumika vibaya na malaya na wadangaji (michepuko).

Mjinga akijitambua mwerevu huwa mashakani!

Malaya , wadangaji, michepuko, concubines etc yatosha mlivyowaibia wanaume!

Ni wakati wa kutafuta shughuli yoyote ya halali ya kujipatia kipato halali hata kwa kujikimu tu.

Hongereni wanaume mloanza kujitambua Kwani mwisho wa mambo hayo ya uzinzi na uasherati ni upatilli mtupu na kujilisha upepo!
 
Wanaume kazeni hivyo ikibidi waleni bure wakome kiranga!

Pesa Ndiyo zilikuwa zikiwapa jeuri sana hadi kidharau wanawake wa ndoa wenyehaki ya kuhudumiwa!

Ila Halahala wanaume mjipange sivyo kiwango Cha kurogwa kitaongezeka!

Eti kwa mara ya kwanza kuna michepuko imekataliwa kulipiwa ada za Shule za watoto wao ?!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] aisee
 
Ni kweli watafute hela wakileta njaa zao lazima waombwe tako,hawataki kutoa tako wasepe ,kuwa na demu maskini njaa njaa ni kujitafutia na wewe umaskini
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]inakera Sana

Unakuwa na manzi Kama yatima Bwana
 
[emoji16][emoji16][emoji16] analazimisha !?
 
Anakuombaje kibabe hivyo kama hamna mazoea na wewe
 
Haitokaa itokee.. Maandiko yalisha tuhukumu wanaume kula kwa jasho wanawake kuzaa kwa uchungu

Mnayakumbuka maandiko kwenye kitonga tu, tafuteni hela zenu acheni kushupaza shingo... mwenye masikio na asikie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…